Nahitaji Mume

Degree tena kwenye ndoa
Habari Wana Jf,

Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.

Awe

-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.

- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs

-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.

-Muwazi na mkweli

Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo

-Nina mtoto mmoja

-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja

-Muwazi na mkweli

Aliye na Nia karibu PM .

Asante!
 
Habari Wana Jf,

Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.

Awe

-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.

- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs

-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.

-Muwazi na mkweli

Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo

-Nina mtoto mmoja

-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja

-Muwazi na mkweli

Aliye na Nia karibu PM .

Asante!



Digrii moja ???
 
Njoo pm
Habari Wana Jf,

Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.

Awe

-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.

- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs

-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.

-Muwazi na mkweli

Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo

-Nina mtoto mmoja

-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja

-Muwazi na mkweli

Aliye na Nia karibu PM .

Asante!
Njoo pm
 
Awe na degree tena umesahau kuwa kusoma nikipaji 😂😂😂😂😂 kama wengine wanavigezo vyote wakakosa degree vipi wakuje inbox au 🏃🏃🏃🏃
 
kila mwanachama zingatia kanuni zifuatazo uwapo jf

kanuni ya 1 : usiri
kanuni ya 2: usiri
kanuni ya 3: usiri
kanuni ya 4: usimwamini kila mtu
kanuni ya 5: usiamini kila taarifa
kanuni ya 6: kuwa makini
kanuni ya 7: miliki lD zaidi ya 1

kila la heri mleta mada
mungu akutimizie hitaji lako
Wajumbe Wajumbe mna roho mbaya sana 🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom