mnangagwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 978
- 1,424
Mtoto ni agizo la mungu,je ametokana na utaratibu ambao mungu kauweka au zinaa?Mtoto ni agizo la Mungu labda unambie ni kifungu gani kinasema kuzaa ni dhambi
Mtoto ni agizo la mungu,je ametokana na utaratibu ambao mungu kauweka au zinaa?Mtoto ni agizo la Mungu labda unambie ni kifungu gani kinasema kuzaa ni dhambi
Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Utaratibu upi uliowekwa na Mungu kuhusu mtotoMtoto ni agizo la mungu,je ametokana na utaratibu ambao mungu kauweka au zinaa?
Mtoto ni agizo la Mungu labda unambie ni kifungu gani kinasema kuzaa ni dhambi
Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Njoo pmHabari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Wajumbe Wajumbe mna roho mbaya sana 🤣🤣kila mwanachama zingatia kanuni zifuatazo uwapo jf
kanuni ya 1 : usiri
kanuni ya 2: usiri
kanuni ya 3: usiri
kanuni ya 4: usimwamini kila mtu
kanuni ya 5: usiamini kila taarifa
kanuni ya 6: kuwa makini
kanuni ya 7: miliki lD zaidi ya 1
kila la heri mleta mada
mungu akutimizie hitaji lako
Atokane na baba na mama waliofunga ndoa.Utaratibu upi uliowekwa na Mungu kuhusu mtoto
Ndivyo biblia inavyosema?Atokane na baba na mama waliofunga ndoa.
Endelea kujitoa ufahamu.Ndivyo biblia inavyosema?
JibubswaliEndelea kujitoa ufahamu.
Wasije tafadhaliAwe na degree tena umesahau kuwa kusoma nikipaji kama wengine wanavigezo vyote wakakosa degree vipi wakuje inbox au
Thread inasema mwenye nia aje pm na si vinginevyoNjoo pm
Njoo pm
Ni kitabu gani cha dini kimeruhusu zinaa mbaya zaidi hadi unapata ujauzito kwa kuzini?Jibubswali
Bado hujajibu swaliNi kitabu gani cha dini kimeruhusu zinaa mbaya zaidi hadi unapata ujauzito kwa kuzini?
Yawezekana unataka ligi au ni muumini wa zinaa.anyway endelea na issue zingine.Bado hujajibu swali
Hilo sio jibu acha kuzungukazungukaYawezekana unataka ligi au ni muumini wa zinaa.anyway endelea na issue zingine.
Jibu endelea kuzini na kuzaa watoto nje ya ndoa.Hilo sio jibu acha kuzungukazunguka