Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,876
- 4,527
Chek uzi wangu wa leo kama nakufaa njoo chapuHapana bado sijampata
Chek uzi wangu wa leo kama nakufaa njoo chapuHapana bado sijampata
Chura ipo?Hapana bado sijampata
Usikate tamaa, naamini utafanikiwa.Hapana bado sijampata
😬😬😬😬😬😬😬🙂↕️🙂↕️🙂↕️🙂↕️Halafu unambie palipoandikwa usizae nje ya ndoa.
Unakubali kuwaHalafu unambie palipoandikwa usizae nje ya ndoa.
Mkumbuke suleman alikuwa na wanawake wangapi hizo ndoa alifanya lini? Ila alizaaa
Biia inatambua ndoq za watu wangapi?
Ibrahim alishauriwa na mkewe atoke na kijakazi na huyo ndie baba wa imani sasa.
Tafadhali tusiitane wapagani imani naijua pengine kukuzidi