Nahitaji mume mwenye hofu ya Mungu

Nahitaji mume mwenye hofu ya Mungu

Mimi ni mjane nina watoto 3, nina miaka 43, ni mfanyakazi nina hofu ya Mungu. Nahitaji mume ambaye ana watoto pia awe mcha Mungu na mwenye shughuli halali ya kumuingizia kipato. Umri wake ningependa anizidi mimi.

Naamini mume ni zaidi ya rafiki

Karibu uliyetayari





I thought marriage is the club which those inside yearn to leave but those who've never been inside would do anything to get in!

Dadawaukweli, kuna nini katikati hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom