Nahitaji mume anayejitambua

Nahitaji mume anayejitambua

Waislam wenye maadili ya dini huwa hatutafutani kwenye mitandao ya kijamii. Nadhani umepotea njia!
 
Weka picha

Hii hapa. attachment-2.jpeg
 
Huna topic? You are not serious at all, wapende na olewa na watu unaowajua dadaaaa
 
hii issue ya watu kutafuta wenza mitandaoni imekuwa siriaz eeh? i used to think ni mambo ya utani ila sasa nazani wana maanisha. Anyway kila kheri mapenzi kokote bahati yako tu
 
Nitaku PM mama ila Serengeti boys ndio tunapatikana huku miaka 40 wapo busy na ndoa zao za kitambo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Join Date : 18th March 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Is JF now a dating site?
 
Hivi huko mtaani,kijijini,kanisani,shuleni,kazini kwenu hakuna watu hadi mje mtandaoni? Used
 
m sioni point ya kumvunja mtu moyo ndoa unaeza pata kokote tu hata mtandaoni..maisha yamebadilika watu wengi maisha yao n mzunguko huo huo kila cku hupat muda wa kukutanana watu wapya sehem km hz ndo za kumingle m nna hakika mpk mtu anataman ndoa basi n mtu mzima mwenye akili timamu kuchezewa au kuchezea n part of life...muachene km we hauko interested unaruka uzi wake tu(maoni yangu)
 
Back
Top Bottom