Nahitaji mume aliye serious na maisha

Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki
kwa mfano wakaja serious 6 utafanyaje..ama mchujo utaanza
 
Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.

Asante sana na Mungu awabariki
Ungekuwa na mtoto ningekuja PM, sitaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom