park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,918
- 7,023
vp tena wapi huko??
vp tena wapi huko??
aah jitahd ujibu tu ata kwa isharaSwali limekuwa gumu
Ulikutana na wala kimasihala?Nilishaachana na habari za huku mkuu hakuna jipya mi asaiv ni ndugu mtazamaji.
Twende Pm wangu, mimi niko verified kabisaa 🥰Hello habari Mimi ni mdada nahitaji mume aliye serious namaisha sina mtoto, sifa awe mkiristo ila awe Kanda yaziwa mengine tutaelezana PM karibuni.
Asante sana na Mungu awabariki
Pole sana, sasa unaweza settle na huyu kijana hapa.🤗
Hiyo nzuri.👏 ina maana hitaji muhimu la nne la binadamu kamili haulitumii aise?Nimeishaachana nahizo habari mkuu nakomaa na life kwanza mengine yatajileta yenyewe boss
Code mbona nyepesi sana hiyo? Hivyo vyombo havisuguliwi?Hitaji lipi hilo mkuu nifafanulie
Vya kabatini vinatumika, ingekuwa vipo store sawa.🤣vyombo vipo kabatini.
Sawa sawa. Vingine wametunziwa wageni maalum.😅Sio kila kilichomo kabatini kinatumika boss acha kukalili.