Nahitaji mtu aliepo Morogoro, Ifakara anipe ABC za mchele sasa hivi?

aBuwash

Senior Member
Dec 26, 2023
132
254
Natumai wote mko sawa humu ndani.

Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele.

1. Bei zipoje sasa mashineni
2. Je ni kweli muda si mrefu bei zitashuka na zikishuka huwa zinafikia bei gani
3. Usafiri mpka dar kwa kilo mia bei gani na ushuru pia

Kitu kingine wafanyabiashara wenzang wa mchele huo mchele wa 1200 munautoa wapii mbona mimi sielew nautafuta siupatii

Halafu wateja wangu wa mbagala ni hali ya chini na mimi nina supa nisaidieni jamni kwa hilo
 
Natumai wote mko sawa humu ndani.

Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele.

1. Bei zipoje sasa mashineni
2. Je ni kweli muda si mrefu bei zitashuka na zikishuka huwa zinafikia bei gani
3. Usafiri mpka dar kwa kilo mia bei gani na ushuru pia

Kitu kingine wafanyabiashara wenzang wa mchele huo mchele wa 1200 munautoa wapii mbona mimi sielew nautafuta siupatii

Halafu wateja wangu wa mbagala ni hali ya chini na mimi nina supa nisaidieni jamni kwa hilo
Njoo inbox
 
Njoo katoro geita tunanunua gunia la debe 6 la la mpunga tunakoboa unapata kilo zako 60 unaenda kuuza bei unayoitaka, debe moja elf 9
 
Back
Top Bottom