Nahitaji mtaalamu wa Kudesign "JALADA" la kitabu changu.

Ahmad Mussa

Member
Oct 21, 2011
46
19
Sambamba na huyo mtaalamu ambaye nataka atengeneze Jalada lenye mvuto
nahitaji kujua kama unaweza kukitengeneza kitabu kupitia Microsoft Word pekee
au ni lazima kiwekwe kwenye page make,r ni matumaini yangu kuwa nitapata
majibu yenu.
 
Ni PM email yako na maelezo ya hicho kitabu chako nikutengenezee Cover la kuuzia!Satisfaction guaranteed!Belivdat
 
Ahmad Mniachi, nimesoma hadithi zako nyingi magazetini ni nzuri zinavutia
ni Mwandishi mwenye kipaji lazima nikusifie. Ninachokushauri ili kuondoa usumbufu
kwa Ma designer hapa ni vizuri hata ukitoa sehemu ya hiyo story ili watu wapate picha
wenyewe ni jalada la aina gani linahitajika.
 
Ahmad Mniachi, nimesoma hadithi zako nyingi magazetini ni nzuri zinavutia
ni Mwandishi mwenye kipaji lazima nikusifie. Ninachokushauri ili kuondoa usumbufu
kwa Ma designer hapa ni vizuri hata ukitoa sehemu ya hiyo story ili watu wapate picha
wenyewe ni jalada la aina gani linahitajika.
Ok nimekuelewa mkuu, nitalifanyia kazi ombi lako
 
Sasa mkuu si ungetoa intro ya Kitabu na mudhui yake. na kinatakiwa kuwaje
  • Ni acadamic, ni fiction. Ni reference ya ofisi , kampuni au chama cha siasa?
  • Tayari unazo tiitle na picha za kutumika au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • Tayari una idea ya rangi unayotaka itumike au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • urefu, upana wa kitabu ukoje na kina kurasa ngapi?
  • etc (yaani nyambuisha zaidi mahitaji yako tujue kama hata kina mtazamaji tunaweza kujaribu kuogelea)
Binafsi sio mtaaam nimeanza kuwa na interest na mambo ya grahics miezi michache tu. So ukifafanua zaidi itapendeza nijipe cha challnege . Au kama unataka kujaribu pia kufanya mwenyewe tafuta program ya adobe inaitwa Idesign. au Photoshop

Mhh hii ndo faida a hasara ya internet anybody can do anything .....

Lakini mara nyingi ili upate kitu kizuri itapendeza upokee na mawazo ya desinger wengine. Unaweza ukakuta umependa Rangi ya jalada aliyotumia mtazamaji ukapenda Font aliyotumia XyZ na ukapeda mpangiilo wa maneno yalivyokaa(typography) aliyotumia ZZZZ.

NB
usisahau karne hii E-book pia kama unalenga na soko la nje Kina Amazon na ebay na googlebooks ndio wauzaji wakubwa wa vitabu katika mfumo wa digital.
 
Sasa mkuu si ungetoa intro ya Kitabu na mudhui yake. na kinatakiwa kuwaje
  • Ni acadamic, ni fiction. Ni reference ya ofisi , kampuni au chama cha siasa?
  • Tayari unazo tiitle na picha za kutumika au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • Tayari una idea ya rangi unayotaka itumike au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • urefu, upana wa kitabu ukoje na kina kurasa ngapi?
  • etc (yaani nyambuisha zaidi mahitaji yako tujue kama hata kina mtazamaji tunaweza kujaribu kuogelea)
Binafsi sio mtaaam nimeanza kuwa na interest na mambo ya grahics miezi michache tu. So ukifafanua zaidi itapendeza nijipe cha challnege . Au kama unataka kujaribu pia kufanya mwenyewe tafuta program ya adobe inaitwa Idesign. au Photoshop

Mhh hii ndo faida a hasara ya internet anybody can do anything .....

Lakini mara nyingi ili upate kitu kizuri itapendeza upokee na mawazo ya desinger wengine. Unaweza ukakuta umependa Rangi ya jalada aliyotumia mtazamaji ukapenda Font aliyotumia XyZ na ukapeda mpangiilo wa maneno yalivyokaa(typography) aliyotumia ZZZZ.

NB
usisahau karne hii E-book pia kama unalenga na soko la nje Kina Amazon na ebay na googlebooks ndio wauzaji wakubwa wa vitabu katika mfumo wa digital.

you really like bullets and numbering.
 
Sasa mkuu si ungetoa intro ya Kitabu na mudhui yake. na kinatakiwa kuwaje
  • Ni acadamic, ni fiction. Ni reference ya ofisi , kampuni au chama cha siasa?
  • Tayari unazo tiitle na picha za kutumika au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • Tayari una idea ya rangi unayotaka itumike au unataka msanifu jalada ndio aumize kichwa?
  • urefu, upana wa kitabu ukoje na kina kurasa ngapi?
  • etc (yaani nyambuisha zaidi mahitaji yako tujue kama hata kina mtazamaji tunaweza kujaribu kuogelea)
Binafsi sio mtaaam nimeanza kuwa na interest na mambo ya grahics miezi michache tu. So ukifafanua zaidi itapendeza nijipe cha challnege . Au kama unataka kujaribu pia kufanya mwenyewe tafuta program ya adobe inaitwa Idesign. au Photoshop

Mhh hii ndo faida a hasara ya internet anybody can do anything .....

Lakini mara nyingi ili upate kitu kizuri itapendeza upokee na mawazo ya desinger wengine. Unaweza ukakuta umependa Rangi ya jalada aliyotumia mtazamaji ukapenda Font aliyotumia XyZ na ukapeda mpangiilo wa maneno yalivyokaa(typography) aliyotumia ZZZZ.

NB
usisahau karne hii E-book pia kama unalenga na soko la nje Kina Amazon na ebay na googlebooks ndio wauzaji wakubwa wa vitabu katika mfumo wa digital.

Ni fiction. Ninachotaka kujua kutoka kwako ni utaratibu wa hao watu wa E- books
unakuwaje na wanakulipa vipi kwani wanaweza kuwa ndio wale matapeli wa mtandao.
 
Back
Top Bottom