Nahitaji mshirika wa biashara ya usindikaji unga wa sembe

Nahitaji mshirika wa biashara ya usindikaji unga wa sembe

JayMoetz

Member
Joined
Nov 22, 2020
Posts
17
Reaction score
35
Habari Zenu Jina langu ni Juma Jumanne, KIJANA Mfanyabiashara wa Mazao SINGIDA

Nilianzisha Kampuni Yangu (LYANGA FLOUR MILLERS) ya kusindika unga lishe, Sembe na Dona, lakini Biashara ilisimama kwa sababu sikua na Mashine yangu Binafsi na sababu zilizo nje Ya Uwezo Wangu

Kwa sasa nina KIWANJA changu pia nimejenga JENGO la MASHINE, nimenunua mashine Yangu nimekwisha IFUNGA Kila Kitu sjaaanza kazi Bado sijavuta UMEME sina PESA ya PAMOJA ya kuvuta umeme na MTAJI umekata.

Nilipoenda kuomba MKOPO BANK nimekosa wanataka BIASHARA ianze kwanza.

Ombi langu:

Nipate MTU au MKATABA wa kushirikiana ili nianze KUSINDIKA na KUUZA UNGA, kwa sababu nina uzoefu na wateja tayari ninao

Huyo Patna awe tayari kuwekeza angalau kuanzia MILIONI TATU 3

Namba Yangu: 0626825468
img-20251227-wa0000-jpg.3558423
IMG-20251227-WA0006.jpg
 

Attachments

  • IMG-20251227-WA0000.jpg
    IMG-20251227-WA0000.jpg
    113.6 KB · Views: 5
Biashara lazima iwe na Quantified katika Partnership mtu akiweka hiyo 3m ni sawa na %ngapi? Maana zipo bishara ambazo ni mtaji wa partners unakua 50% kwa 50% means wana share Profits and Loss equally na zipo nyingine 80% kwa 20% hapa ikipatikana faida wa kwanza anachukua 80% na kiasi kilichobakia anachukua partner mwingine msifanye mambo kienyeji sana kama umewekaza 5M mwambie partner naye aje na 5m ili kuweza ku share profit and Loss equally lakini pia hapo details za kampuni zitabadilika kwa sababu mwanahisa mwingine ameingia.
 
Biashara lazima iwe na Quantified katika Partnership mtu akiweka hiyo 3m ni sawa na %ngapi? Maana zipo bishara ambazo ni mtaji wa partners unakua 50% kwa 50% means wana share Profits and Loss equally na zipo nyingine 80% kwa 20% hapa ikipatikana faida wa kwanza anachukua 80% na kiasi kilichobakia anachukua partner mwingine msifanye mambo kienyeji sana kama umewekaza 5M mwambie partner naye aje na 5m ili kuweza ku share profit and Loss equally lakini pia hapo details za kampuni zitabadilika kwa sababu mwanahisa mwingine ameingia.
Anaraisisha vitu alafu baadae watu wanaanza kulogana kisa biashara imesimama mswahili akawii kusahau wap ametoka
 
Halafu utaratibu wa kutemana ukoje?
Yaani tutakuwa pamoja au biashara ikichanganya tunaanza kusagiana kungun si umiliki wa moja kwa moja wa mali
Ni ushirikiano wa faida (profit sharing) kwa mkataba maalum
Halafu utaratibu wa kutemana ukoje?
Yaani tutakuwa pamoja au biashara ikichanganya tunaanza kusagiana kunguni?

Halafu utaratibu wa kutemana ukoje?
Yaani tutakuwa pamoja au biashara ikichanganya tunaanza kusagiana kunguni?


Biashara hii sio umiliki wa moja kwa moja wa mali, bali ni ushirikiano wa kugawana faida (Profit Sharing) kwa kutumia mashine iliyopo tayari.
🔹 Biashara tayari ina msingi imara:
✔ Kiwanja
✔ Jengo
✔ Mashine na Wirening tayar Vimekamilika
❗ Kilichobaki: Umeme na kuanza uzalishaji rasmi
🔹 Natafuta mwekezaji wa Tsh Milioni 3 kwa ajili ya kukamilisha hatua ya MWISHO na kuanza uzalishaji.
🔹 Faida kwa Mwekezaji:
Kurudishiwa mtaji wake ndani ya muda mfupi (kutegemea mapato ya biashara) Kisha
Kuendelea kupata faida ya kila mwezi Kwa mapato yapatikanayo
Mkataba wa miaka 2 hadi 3 jinsi Tutavokubaliana
🔹 Huu ni uwekezaji kwenye BIASHARA Halisi tayari sio wazo la kuanzia mwanzo tayar lipo hatua za Mwisho Kwa Maelezo Zaidi au Kufika Sehem Husika ya Biashara

piga 0626825468 JUMA/LYANGA
 
Biashara lazima iwe na Quantified katika Partnership mtu akiweka hiyo 3m ni sawa na %ngapi? Maana zipo bishara ambazo ni mtaji wa partners unakua 50% kwa 50% means wana share Profits and Loss equally na zipo nyingine 80% kwa 20% hapa ikipatikana faida wa kwanza anachukua 80% na kiasi kilichobakia anachukua partner mwingine msifanye mambo kienyeji sana kama umewekaza 5M mwambie partner naye aje na 5m ili kuweza ku share profit and Loss equally lakini pia hapo details za kampuni zitabadilika kwa sababu mwanahisa mwingine ameingia.

Ndio ila Napenda Niweke Wazi Mfan nimeekeza M12 lengo langu si mwekezaj aje na m12

Nimetaja kima cha chini Tsh 3M ili kufikia kukamilisha hatua ilio Bakia yaan Umeme na kuanza Uzalishaj Moja kwa Moja Mwekezaji awekeze na Tuanze Mchakato wa kufikia malengo kutengeneza Faida Kwa mkataba Maalumu Wa Miaka (2)Au(3)
 
Ndio ila Napenda Niweke Wazi Mfan nimeekeza M12 lengo langu si mwekezaj aje na m12

Nimetaja kima cha chini Tsh 3M ili kufikia kukamilisha hatua ilio Bakia yaan Umeme na kuanza Uzalishaj Moja kwa Moja Mwekezaji awekeze na Tuanze Mchakato wa kufikia malengo kutengeneza Faida Kwa mkataba Maalumu Wa Miaka (2)Au(3)
Nikisoma maneno yako between the lines we unahitaji mkopo ambao huna masharti ya ukishatimiza lengo lako umfukuze huyo mtu hakunaga Partnership ya Mkataba eti miaka miwili au mitatu hicho hakipo ni either unanunua part ya hisa zake au kampuni ili Liquidate unaongea easily kwa sababu kichwani hakuna unachokijua
 
Ni ushirikiano wa faida (profit sharing) kwa mkataba maalum





Biashara hii sio umiliki wa moja kwa moja wa mali, bali ni ushirikiano wa kugawana faida (Profit Sharing) kwa kutumia mashine iliyopo tayari.
🔹 Biashara tayari ina msingi imara:
✔ Kiwanja
✔ Jengo
✔ Mashine na Wirening tayar Vimekamilika
❗ Kilichobaki: Umeme na kuanza uzalishaji rasmi
🔹 Natafuta mwekezaji wa Tsh Milioni 3 kwa ajili ya kukamilisha hatua ya MWISHO na kuanza uzalishaji.
🔹 Faida kwa Mwekezaji:
Kurudishiwa mtaji wake ndani ya muda mfupi (kutegemea mapato ya biashara) Kisha
Kuendelea kupata faida ya kila mwezi Kwa mapato yapatikanayo
Mkataba wa miaka 2 hadi 3 jinsi Tutavokubaliana
🔹 Huu ni uwekezaji kwenye BIASHARA Halisi tayari sio wazo la kuanzia mwanzo tayar lipo hatua za Mwisho Kwa Maelezo Zaidi au Kufika Sehem Husika ya Biashara

piga 0626825468 JUMA/LYANGA
Gpt kwenye ubora wake

Ushauri wangu

Pambana uwezavyo ukope hiyo 3m na mkubaliane nae utampa interest % ngapi

Partnership bongo pasua kichwa mtaishia kugombana Bure

3m ni ndogo sana mwambie mkeo akakope ata ASA

Kwenye maisha ya upambanaji unaweza do what you can do ili mambo yaende
 
Gpt kwenye ubora wake

Ushauri wangu

Pambana uwezavyo ukope hiyo 3m na mkubaliane nae utampa interest % ngapi

Partnership bongo pasua kichwa mtaishia kugombana Bure

3m ni ndogo sana mwambie mkeo akakope ata ASA

Kwenye maisha ya upambanaji unaweza do what you can do ili mambo yaende

SHUKRANI kwa Wazo lako Pia ntalifanyia kazi Japo ASA wana riba kubwa sana Wanakopesha kwa Miezi6 ukiitaji Milion 3 (Gharama Za Mkopo za awali 337,500)wanakupa Cash 2,655,300 rejesh kila week 133,500 ndan ya Miezi 6 (Week25)
133500×25(Weeks)=3337500


Me sio mtaalamu lakn naona Riba zao mbona za MOTO hv ziko Juu au ni sawa
 
Pamoja na yote lakn hujasema unapatokana wapi

Weka vitu waz watu watembelee eneo lako wajionee wenyewe tuwaulize wanakifahamu historia yako ipoje

Hakuna pesa ya kujuana tu mtandon et uweke namba ya simu inatosha
 
SHUKRANI kwa Wazo lako Pia ntalifanyia kazi Japo ASA wana riba kubwa sana Wanakopesha kwa Miezi6 ukiitaji Milion 3 (Gharama Za Mkopo za awali 337,500)wanakupa Cash 2,655,300 rejesh kila week 133,500 ndan ya Miezi 6 (Week25)
133500×25(Weeks)=3337500


Me sio mtaalamu lakn naona Riba zao mbona za MOTO hv ziko Juu au ni sawa
Ni kama 12% kwa miezi sita
Shida ni hapo kurejesha kwa wiki ndo mtihani mengine yote sawa tu

Unatakiwa kupambana mnoo
 
Pamoja na yote lakn hujasema unapatokana wapi

Weka vitu waz watu watembelee eneo lako wajionee wenyewe tuwaulize wanakifahamu historia yako ipoje

Hakuna pesa ya kujuana tu mtandon et uweke namba ya simu inatosha
Nadhani kaweka namna ya simu ili kwa ambae atakuwa interested amcheki wazungumze
 
Ni ushirikiano wa faida (profit sharing) kwa mkataba maalum





Biashara hii sio umiliki wa moja kwa moja wa mali, bali ni ushirikiano wa kugawana faida (Profit Sharing) kwa kutumia mashine iliyopo tayari.
🔹 Biashara tayari ina msingi imara:
✔ Kiwanja
✔ Jengo
✔ Mashine na Wirening tayar Vimekamilika
❗ Kilichobaki: Umeme na kuanza uzalishaji rasmi
🔹 Natafuta mwekezaji wa Tsh Milioni 3 kwa ajili ya kukamilisha hatua ya MWISHO na kuanza uzalishaji.
🔹 Faida kwa Mwekezaji:
Kurudishiwa mtaji wake ndani ya muda mfupi (kutegemea mapato ya biashara) Kisha
Kuendelea kupata faida ya kila mwezi Kwa mapato yapatikanayo
Mkataba wa miaka 2 hadi 3 jinsi Tutavokubaliana
🔹 Huu ni uwekezaji kwenye BIASHARA Halisi tayari sio wazo la kuanzia mwanzo tayar lipo hatua za Mwisho Kwa Maelezo Zaidi au Kufika Sehem Husika ya Biashara

piga 0626825468 JUMA/LYANGA
Inaonekana unatafuta mkopo sio business partner
 
Pamoja na yote lakn hujasema unapatokana wapi

Weka vitu waz watu watembelee eneo lako wajionee wenyewe tuwaulize wanakifahamu historia yako ipoje

Hakuna pesa ya kujuana tu mtandon et uweke namba ya simu inatosha

Nimeweka Wazi kwenye Maelezo Kuwa Nipo SINGIDA
Pamoja na yote lakn hujasema unapatokana wapi

Weka vitu waz watu watembelee eneo lako wajionee wenyewe tuwaulize wanakifahamu historia yako ipoje

Hakuna pesa ya kujuana tu mtandon et uweke namba ya simu inatosha


Nimeweka Wazi Kwenye Maelezo nipo SINGIDA
 
Inaonekana unatafuta mkopo sio business partner
Hapana Kulingana na nimetaja kiwango cha milion 3 tunawekeana Mkataba kwa kazi kwa miaka mi tatu Tayar Mwekezaj na yeye ametengeneza Faida zaid ya Hyo Milion Tatu Pia akipendezwa bdo anaweza kuongeza mkataba tukaendelea na kazi kwa kutengeneza faida zaid kwa pande zote
 
Inaonekana unatafuta mkopo sio business partner
Hapana Kulingana na nimetaja kiwango cha milion 3 tunawekeana Mkataba kwa kazi kwa miaka mi tatu Tayar Mwekezaj na yeye ametengeneza Faida zaid ya Hyo Milion Tatu Pia akipendezwa bdo anaweza kuongeza mkataba tukaendelea na kazi kwa kutengeneza faida zaid
Ni kama 12% kwa miezi sita
Shida ni hapo kurejesha kwa wiki ndo mtihani mengine yote sawa tu

Unatakiwa kupambana mnoo


Anhaa Sawa Kumbe n 12%

Yes kweny Marejesho Yao kila week apo ndo MchakaMchaka Wa Maana ngoj nione
 
Nachoona unatakiwa ufanye taratibu na huo mradi wako kama unaona hauwezi kupata hiyo 3m kwa sasa fanya shughuli ingine ili maisha yaende hata kwa kupata kipato kidogo huku ukiendelea kufanya mchakato wa kupata hiyo hela ya umeme maana naona unakoenda ni kuingiza mradi wako kwenye madeni yasiyolipika au kupata mtu ambae atatumia udhaifu wako kuchukua mradi wako wote na ukaanza upya sehemu uliyofika sio mbaya sana..
Kukopa hela huku biashara haijaanza watauza kiwanja hicho wataanza na mashine ya haraka..
 
Nachoona unatakiwa ufanye taratibu na huo mradi wako kama unaona hauwezi kupata hiyo 3m kwa sasa fanya shughuli ingine ili maisha yaende hata kwa kupata kipato kidogo huku ukiendelea kufanya mchakato wa kupata hiyo hela ya umeme maana naona unakoenda ni kuingiza mradi wako kwenye madeni yasiyolipika au kupata mtu ambae atatumia udhaifu wako kuchukua mradi wako wote na ukaanza upya sehemu uliyofika sio mbaya sana..
Kukopa hela huku biashara haijaanza watauza kiwanja hicho wataanza na mashine ya haraka..
Ahsante Sana Kwa Wako Ushauri 🙏🙏Ndio Mana Nikaogopa Kukopa Hasa kweny Taasisi Binafsi za Mikopo kama ASA Maana walikua tayar Kunipa Mkopo Muda wowote

Muhimu nipate Mtu Mwenye Nia Ya Dhati Kwa Biashara Naamin Tutafany kazi Mana Tayar nina Uzoefu wa Biashara Hii Na wateja Ninao sio wa kuwatafta sana
 
Back
Top Bottom