Sasa wajameni eti Arsenal tuna points ngapi?
Wazee wa JF,Nategemea kwenda kikazi Shinyanga kwa takribani siku 30,wakuu mnaoijua vema shinyanga sehemu gani ambazo kuna viwanja vya kupoozea mihemko ya mwili.Please let me know wadau
Tunaongoza ligi mkuu, point moja mbele ya man city
Asante kiongozi,angalau pa kuanzia nimekupata,siku 30 bila mambo yetu yale ni ngumu sana
nenda butiama Club! opposite station ya tren