Nina tatizo sugu nahitaji msaada wenu. Mimi ni mdada na nimekulia kwenye familia ya Kikristo sana na hadi namaliza Form 6 simjui mwanaume nimekuja kumpata nikiwa chuoni. sasa nikapata Bf na nikamueleza ukweli sijawahi kukutana na mwanaume sijui yeye hakunielewa ila niliumia sana. Ikafika mahali tukaachana ila tulikuwa tukikutana kimwili hata sioni umuhimu wake. nikapata mwingine ikawa hivyo hivyo, sasa imefikia mahali nina umri mkubwa sana kwa sasa 33 na sijui raha ya kufanya tendo la ndoa imefika mahali nikaenda hospital wanasema sina tatizo lolote. Ninakuwa na hamu kweli ya kuwa na Bf wangu na pia hata tukiwa kitandani ninahamu naye sana ila akiingia tu wala sisikii chochote sijui raha wala nini kama wengine wanavohadithia. Dr mmoja akanishauri nikifika nyumbani nijichezee mwenyewe akanielekeza kweli nilifanya na nikasikia raha sana, tatizo tu nikiwa na mr na ninampenda sana ili kutomkatiza tamaa inabidi nijifanya tayari. Tafadhali nisaidieni maana kama romance anafanya sana na ninakuwa tayari kabisa kuingiliwa na mimi ndo namuomba aingie maana nakuwa nimezidiwa ila cha ajabu akiingia tu hata sisiskii raha ya aina yoyote mpk anamaliza. Hembu nisaidieni na kama unamjua Dr mzuri atakaye weza nitibu nitashukuru. tafadhali msiniponde ndo hali yangu ilivyo nisaidieni.