zovyonzoziginzi
New Member
- Nov 7, 2011
- 2
- 0
Nilijiunga na benki hii takriban miaka mitatu iliyo pita, na nikachukua mkopo,lakini cha ajabu makato ya hii benki nayaona kama ni ya kijanja kijanja sana, makubaliano yaliyopo ilikuwa mshahara wangu upitie kwao ili wakate pesa yao,lakini mshara ukiingia wanakata pesa yao,na kuzuia kiasi kingine cha pesa kilicho baki mpaka uende kulalamika ndo wanaachia,hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara,na nimejitahidi kupata ufumbuzi wa hili wahusika wananikwepa kwepa kwa kuniambia system zipo chini so niondoke kisha watanipigia, then they don't call back! Na nikiwapigia hao wahusika hawapokei simu yangu.Nina tatizo hili yapata wiki Mbili sasa.Naweza pata Mdau yeyote wa Bacrays Bank ambaye atanisaidia kwa hili?cause am stranded and I need the money.