Ndugu zangu wapendwa,
Nimekuwa na tatizo ambalo limejitokeza na limekuwa likitishia uhai wangu ambapo chanzo chake ni kuunganishwa kwa nafsi yangu na sehemu nyingine ikiwa na maana kuwa Kwa kila jambo ninapolifanya popote nilipo limekuwa likifahamika na watu hao wanaonifuatilia kila sehemu nitakayokuwepo.
Yaani Kwa kifupi nimekuwa Kama kituo cha televisheni kinavyofatiliwa.
Siku moja nilikutana na mtu mmoja alinishangaa sana na katika mazungumzo alianza kuelezea kwa kuuangalia tu uso wangu alinisikitikia Sana na kuniambia tayari kuna watu tayari wameshaniunganisha na mtandao wao hivyo kila ninachokifanya wanafuatilia na tayari wameshaniweka katika target ya kuniondoa katika ulimwengu huu.
Nimekuwa nikiyaona baadhi ya matukio yanayoashiria hicho kilichosemwa hapo, vilevile hata hali yangu kiuchumi imeshuka hata imefikia hata mke wangu nimemrudisha kwao.
Nimejaribu kuonana na wachungaji mbalimbali Kwa ajili ya maombezi vilevile nimekwenda mpaka kwa waganga WA kienyeji lakini imeshindikana na imeonekana wamekuwa wakituma hata watu kunifuatilia mpaka huko kuleta ushawishi nisipate huduma.
Vilevile kumekuwa na matukio njiani kuona michoro mbalimbali na vitu vya kuogopesha ninavyotembea, vilevile kuna mmoja alipata kuniambia kuwa kwa dada wanapanga kunifungulia mashtaka ili kuniweka chini ya mikono yao.Kumekuwa na matatizo mbalimbali ambayo nakumbana nayo Kama moyo kwenda mbio, kuwa na wasiwasi muda wote.
Nimeyaandika haya kwa nia ya kuomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia ili kutatua tatizo hili kwani naamini katika jukwaa hili kuna watu makini ambao natarajia naweza pata Masada katika masuala haya
Nimekuwa na tatizo ambalo limejitokeza na limekuwa likitishia uhai wangu ambapo chanzo chake ni kuunganishwa kwa nafsi yangu na sehemu nyingine ikiwa na maana kuwa Kwa kila jambo ninapolifanya popote nilipo limekuwa likifahamika na watu hao wanaonifuatilia kila sehemu nitakayokuwepo.
Yaani Kwa kifupi nimekuwa Kama kituo cha televisheni kinavyofatiliwa.
Siku moja nilikutana na mtu mmoja alinishangaa sana na katika mazungumzo alianza kuelezea kwa kuuangalia tu uso wangu alinisikitikia Sana na kuniambia tayari kuna watu tayari wameshaniunganisha na mtandao wao hivyo kila ninachokifanya wanafuatilia na tayari wameshaniweka katika target ya kuniondoa katika ulimwengu huu.
Nimekuwa nikiyaona baadhi ya matukio yanayoashiria hicho kilichosemwa hapo, vilevile hata hali yangu kiuchumi imeshuka hata imefikia hata mke wangu nimemrudisha kwao.
Nimejaribu kuonana na wachungaji mbalimbali Kwa ajili ya maombezi vilevile nimekwenda mpaka kwa waganga WA kienyeji lakini imeshindikana na imeonekana wamekuwa wakituma hata watu kunifuatilia mpaka huko kuleta ushawishi nisipate huduma.
Vilevile kumekuwa na matukio njiani kuona michoro mbalimbali na vitu vya kuogopesha ninavyotembea, vilevile kuna mmoja alipata kuniambia kuwa kwa dada wanapanga kunifungulia mashtaka ili kuniweka chini ya mikono yao.Kumekuwa na matatizo mbalimbali ambayo nakumbana nayo Kama moyo kwenda mbio, kuwa na wasiwasi muda wote.
Nimeyaandika haya kwa nia ya kuomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia ili kutatua tatizo hili kwani naamini katika jukwaa hili kuna watu makini ambao natarajia naweza pata Masada katika masuala haya