Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 5,342
- 9,799
Amani iwe kwenu wadau wa hili Jukwaa!!
Hii Modem ni mpya kabisa nimetoka kununua dukani pale mlimani lakini baada ya kufanya installation kwenye Pc uki ifungua ili uweze ku Connect na internet ina jitokeza iyo Error
kwa hiyo nashindwa kabisa kuitumia
Product ni ya Vivo+ZTE
MF7 10 HSDPA
Nahitaji msaada wenu ili niweze kuondoa hili tatizo wadau wa jukwaa hili!!!...
Hii Modem ni mpya kabisa nimetoka kununua dukani pale mlimani lakini baada ya kufanya installation kwenye Pc uki ifungua ili uweze ku Connect na internet ina jitokeza iyo Error
kwa hiyo nashindwa kabisa kuitumia
Product ni ya Vivo+ZTE
MF7 10 HSDPA
Nahitaji msaada wenu ili niweze kuondoa hili tatizo wadau wa jukwaa hili!!!...