Nahitaji mrembo wa kunifanyia "massage".

Nahitaji mrembo wa kunifanyia "massage".

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Hey there!

Huu uzi nimeweka hapa kwa lengo la kumpata binti mrembo atakae kuwa ananifanyia "massage"...strictly massage and nothing more.

Kama wewe ni binti na una uzoefu wa kumkanda kanda mwanamme viungo (meaning massage), basi hii ni fursa kwako kujipatia kipato halali kabisa.

Maelezo mengine kuhusu mahali nilipo, muda wa kunipa huduma, mrembo awe na sifa gani na bei ya huduma utaipata baada ya kuonyesha interest na hii offer kupitia Private Message (PM).

Aidha, huduma hii kwa sasa hapa Dar ndio inaongoza kutengeneza wealth. Hivyo badala ya kuendelea kufanya kazi ngumu ama kulalamika uhaba wa ajira, ningeshauri uchangamkie hii fursa for the sake of your future.

Contact me through PM.

Angalizo: Huu uzi sio wa mjadala. Ni uzi wa tangazo tu. Lakini pia kwa wanaume huu uzi ni off-limit. Kwa kuwa sihitaji Gay kwa ajili ya hii huduma.
 
Ha ha mbona Maelezo mengi utafikili unaomba kazi.....kapuya sample type unataka utambukizie ngoma mabinti zetu mwambie mkeo akufanyie ,bazazi mkubwa wewe
 
Ha ha mbona Maelezo mengi utafikili unaomba kazi.....kapuya sample type unataka utambukizie ngoma mabinti zetu mwambie mkeo akufanyie ,bazazi mkubwa wewe

Sawa mkuu, umesikika.
 
Ha ha mbona Maelezo mengi utafikili unaomba kazi.....kapuya sample type unataka utambukizie ngoma mabinti zetu mwambie mkeo akufanyie ,bazazi mkubwa wewe

Sawa mkuu, umesikika.
 
Hey there!

Huu uzi nimeweka hapa kwa lengo la kumpata binti mrembo atakae kuwa ananifanyia "massage"...strictly massage and nothing more.

Kama wewe ni binti na una uzoefu wa kumkanda kanda mwanamme viungo (meaning massage), basi hii ni fursa kwako kujipatia kipato halali kabisa.

Maelezo mengine kuhusu mahali nilipo, muda wa kunipa huduma, mrembo awe na sifa gani na bei ya huduma utaipata baada ya kuonyesha interest na hii offer kupitia Private Message (PM).

Aidha, huduma hii kwa sasa hapa Dar ndio inaongoza kutengeneza wealth. Hivyo badala ya kuendelea kufanya kazi ngumu ama kulalamika uhaba wa ajira, ningeshauri uchangamkie hii fursa for the sake of your future.

Contact me through PM.

Angalizo: Huu uzi sio wa mjadala. Ni uzi wa tangazo tu. Lakini pia kwa wanaume huu uzi ni off-limit. Kwa kuwa sihitaji Gay kwa ajili ya hii huduma.

kwani huna hata ndugu zako mpaka utafute watu wa humu
 
Hey there!

Huu uzi nimeweka hapa kwa lengo la kumpata binti mrembo atakae kuwa ananifanyia "massage"...strictly massage and nothing more.

Kama wewe ni binti na una uzoefu wa kumkanda kanda mwanamme viungo (meaning massage), basi hii ni fursa kwako kujipatia kipato halali kabisa.

Maelezo mengine kuhusu mahali nilipo, muda wa kunipa huduma, mrembo awe na sifa gani na bei ya huduma utaipata baada ya kuonyesha interest na hii offer kupitia Private Message (PM).

Aidha, huduma hii kwa sasa hapa Dar ndio inaongoza kutengeneza wealth. Hivyo badala ya kuendelea kufanya kazi ngumu ama kulalamika uhaba wa ajira, ningeshauri uchangamkie hii fursa for the sake of your future.

Contact me through PM.

Angalizo: Huu uzi sio wa mjadala. Ni uzi wa tangazo tu. Lakini pia kwa wanaume huu uzi ni off-limit. Kwa kuwa sihitaji Gay kwa ajili ya hii huduma.

Kafanye mazoezi ya viungo wabongo mkiwa na vibesa kidogo vya kwenda shopping Dubai mnasumbua sana.
 
Usirudie tabia za kishenzi hizo iyo hela kamjengee mama ako kanyumba Kule kijijini

Uwa sipendi majibizano ila nimeona nikusahihishe jambo:

• Sio kila mtu humu JF ana mama kijijini.

• Sio kila mtu humu JF mama yake anahitaji msaada wa mwanae.

• Sio kila mtu humu JF mama yake yuko hai.

• Sio kila mtu humu ana tabia za kibazazi.

• Ushauri, just because you're behind the keyboard with your fake ID, it does not give u the right to talk nonsense to anybody. Get a life dawg.
 
kwani huna hata ndugu zako mpaka utafute watu wa humu

Watu humu mna vichwa vigumu sana kuelewa. I doubt kama mmeelimika.

Ukijaribu kusoma angalizo langu kwenye huu uzi, utagundua kuwa ahukuhusu.

Is it really necessary to comment on each thread!?
 
Watu humu mna vichwa vigumu sana kuelewa. I doubt kama mmeelimika.

Ukijaribu kusoma angalizo langu kwenye huu uzi, utagundua kuwa ahukuhusu.

Is it really necessary to comment on each thread!?
wana jf wengne bhana awako siriaz
 
Hey there!

Huu uzi nimeweka hapa kwa lengo la kumpata binti mrembo atakae kuwa ananifanyia "massage"...strictly massage and nothing more.

Kama wewe ni binti na una uzoefu wa kumkanda kanda mwanamme viungo (meaning massage), basi hii ni fursa kwako kujipatia kipato halali kabisa.

Maelezo mengine kuhusu mahali nilipo, muda wa kunipa huduma, mrembo awe na sifa gani na bei ya huduma utaipata baada ya kuonyesha interest na hii offer kupitia Private Message (PM).

Aidha, huduma hii kwa sasa hapa Dar ndio inaongoza kutengeneza wealth. Hivyo badala ya kuendelea kufanya kazi ngumu ama kulalamika uhaba wa ajira, ningeshauri uchangamkie hii fursa for the sake of your future.

Contact me through PM.

Angalizo: Huu uzi sio wa mjadala. Ni uzi wa tangazo tu. Lakini pia kwa wanaume huu uzi ni off-limit. Kwa kuwa sihitaji Gay kwa ajili ya hii huduma.

Vipi umepata?, na Binti mrembo kwako ni binti mwenye sifa zipi?,
 
Uwa sipendi majibizano ila nimeona nikusahihishe jambo:

• Sio kila mtu humu JF ana mama kijijini.

• Sio kila mtu humu JF mama yake anahitaji msaada wa mwanae.

• Sio kila mtu humu JF mama yake yuko hai.

• Sio kila mtu humu ana tabia za kibazazi.

• Ushauri, just because you're behind the keyboard with your fake ID, it does not give u the right to talk nonsense to anybody. Get a life dawg.

wish cud be in dar, ningejipatia hela za chee cuz am gud on that thng kwa kweli
 
hujakosea kuna filamu moja nimeangalia mama mtu mzma anajiingizia kipato kwa hii kazi so ni vizuri ulivyotangaza sema watu hatuelewi nini maana ya fursa na kuzitumia na kubadili maana ya halisi ya kitu.yule mama anagari na kitanda cha kufanyiia massage na anazunguka nacho majumban mwa wateja wake so anaingiza pesa jaman tujitahidi kuwa waelewa
 
Back
Top Bottom