Nahitaji mpenzi wa kike

Nahitaji mpenzi wa kike

ELIFURAHA MAKOMBE

Senior Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
176
Reaction score
22
Habari na heri ya mwaka mpya ndugu zangu.

Mimi ni mwanaume wa miaka 27 now,nipo Moshi mjini Msaranga.Elimu bachelor degree of banking and finance,mchaga wa Oldi moshi,mkristo safi Lutherani,mrefu na mweusi, wa maji ya kunde.

Sifa za mpenzi nimtakaye:

1Kabila lolote

2Umri miaka 20-25

3.Elimu form 4 nakuendelea.

4.Awe mweupe au maji ya kunde.

5.Awe mrefu wa wastani.

6.Dini akubali dini yangu ya Kikristo.

7.Awe tayari kuwa na mimi mpaka nitakapopata kazi nakufunga ndoa/harusi.

8.Contact zangu ni:0715 406010/0759 706090.

Am serious ndugu zangu,so sihitaji kejeli please.
 
Mkristo safi tena mlutheri. Huko msaranga unakosa hata muimba kwaya jamani? Dah, haya
 
Mkristo safi tena mlutheri. Huko msaranga unakosa hata muimba kwaya jamani? Dah, haya

Ni kweli ndugu,but natumain hata huku wapo wenye hekima na busara but i believe not all but i can get only one with true love.
 
Mimi ni mkristo,mwanakwaya mzuri wa gospel na Reggae,pia niko handsomegirl ehee naruhusiwa??
 
Kama wewe ni mkristu safi pitia zile hatua za kupata mke mwema kutoka kwa mungu, huko utapewa vigezo na sifa za mke mwema na mungu atakuchagulia. Ukiniambia mungu kakufunulia mke wako yuko huku nitakuomba uisikilize vizuri hiyo sauti kwani ni dhahiri shairi shetani amekupoka uwezo wa mungu.
 
Jf hupati wapenzi wapowalioumia sanaaa wanasubiri ungebadili kichwa chahabari natafuta mke pm ingekuwa imejaa nw
 
habari na heri ya mwaka mpya ndugu zangu.

Mimi ni mwanaume wa miaka 27 now,nipo moshi mjini msaranga.elimu bachelor degree of banking and finance,mchaga wa oldi moshi,mkristo safi lutherani,mrefu na mweusi, wa maji ya kunde.

Sifa za mpenzi nimtakaye:

1kabila lolote

2umri miaka 20-25

3.elimu form 4 nakuendelea.

4.awe mweupe au maji ya kunde.

5.awe mrefu wa wastani.

6.dini akubali dini yangu ya kikristo.

7.awe tayari kuwa na mimi mpaka nitakapopata kazi nakufunga ndoa/harusi.

8.contact zangu ni:0715 406010/0759 706090.

Am serious ndugu zangu,so sihitaji kejeli please.

ongezea unafanyakazi wapi elimu nk bilakazi humu nawajua wanasubiria channels
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom