Nahitaji Mpenzi wa kike 19-23yrs

The Boss my age ts doesn't a matter bh the point is muda wa kusom n co wakuangaik na ma beybeee
Tank u by the way
 
Pia naweza kuwa mkubwa kwako
Raimundo then umri na post iliotumwa haihusiani
Ni ushauri huu tunatoa mweny maamuz ni alietoa post
👆👊
 
mkuu#ISLETS napga #HGL ,nina malengo na niko vizuri darasani

comb inaruhusu...
ila sasa ningekushauri kama umeshindwa kujizuia basi tafuta mwanafunzi mwenzako hapo shule ili wote muwe mnawaza masomo...but epuka kitu kinaitwa uzinzi.
 

Dogo concentrate na shule acha mapenzi you have a long way to go chuo chupi zinakamatika kirahisi tu
 
Daaah!! Nasikituka kuona watoto wa shule wanatumia vibaya computer za shule.
Dogo komaa na shule aisee mdem wapo wala hutowamalizaa... ts matter of time...
 
Kazi na dawa! Ila soon utakuwa 'mzembe' zaidi ata ya Ngoswe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…