Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Kwani wachumba huwa wanadai vyeti vya kuzaliwa?Ingekuwa sio umri ningejua ni mkongwe wewe na id yako mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wachumba huwa wanadai vyeti vya kuzaliwa?Ingekuwa sio umri ningejua ni mkongwe wewe na id yako mpya.
ha ha ha ha h aNdio maana nimekuuliza kilichofanya ufikirie ni Mimi ni kitu gani? Au umesikia mimi ndio mtaalamu wa kufungua I'd mpya?
Sent using Jamii Forums mobile app
ID mpya hizi wakongwe mnaamua kujivua magamba, tukiwaambia nyenyekeeni kwa wanaume mkiwa umri mdogo hamsikiiNahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwanamke unikome nina miaka 22 kama mume wangu DabyYawezekana, maana kila bandiko naona watu wanatupia na umri. Au ndio umejidogodisha ili umnase Daby?
Huyo hana hiyana hata ukiwa na miaka 300 ndoho tabu.
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app






Mkuu inaonyesha una hasira sana ishakutokea Mara ngapi kupotezewa?!






