interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Tafadhali nitake radhi kwanza Mke wangu, tangu lini ulisikia nikahangaika na Mwanamke yeyote humu JF tofauti na wewe pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali nitake radhi kwanza Mke wangu, tangu lini ulisikia nikahangaika na Mwanamke yeyote humu JF tofauti na wewe pekee?
Mkuu ni bado niko palepale ukiona umepotezewa maana yake hujatimiza vigezo japo mtu muungwana inabidi akuambie waziNa wewe ushawahi kutoa interview ya hivyo mkuu!?
Most are not serious, wanataka tu kujaribu kuona nani na nani wata respond. Is it great thinking!?
Sent using Jamii Forums mobile app
We jizibie tu fursaTafadhali nitake radhi kwanza Mke wangu, tangu lini ulisikia nikahangaika na Mwanamke yeyote humu JF tofauti na wewe pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kwanini waje na new IDs !?Mkuu ni bado niko palepale ukiona umepotezewa maana yake hujatimiza vigezo japo mtu muungwana inabidi akuambie wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu hilo sijuiLakini kwanini waje na new IDs !?
Maana wengi si kwamba ni wageni JF, isipokuwa wanatengeneza account mpya kwa lengo hilo mahususi.
Sent using Jamii Forums mobile app


Sababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.
Wamekusikia nadhaniSababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.
Ni kama vile wanawatega watu, na ndio maana kuna mmoja hapa ametoa angalizo kuwa vijana wawe makini, kwa sababu hiyo ni ID mpya.
Mimi ombi langu ni kwamba, wadada muwe serious na wala tusitegane, sio poa.
Kama kweli upo serious, onyesha u serious!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nani kasema uwe king mswatiSinaga kabisa chembe za King Mswati/Mfalme Suleimani za kumiliki rundo la wanawake nakati nimepewa uwezo wa kuitawala akili yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeBasi nisisikie tena ukinitangazia fursa kuhusu aina ya kiumbe chochote aina ya Ke tofauti na wewe tu maana sitaki kufa mapema kabla ya siku zangu.
Nimeridhika na wewe pekee, so tulia kipenzi changu cha roho tule maisha Mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hivyo tu Mama, kwakweli najivunia sana kuwa nawe pekee ktk sayari hii.
. Ukitafuta mchumba udondoshe tangazo kwenye wall yangu.Kwani mtu Kua mgeni na new ID nikosa?? Mi nawashanga vijana wa jf. Utathani hiki ni kikoba kwamba wageni hawawezi ku comment sijui.
That's being selfish.
Alafu wengine wanaume wanasema kwamba niwachache mbona nanyie mnatafta humu wanawake. Does it mean wanawake ni wachache.
My take some of you guys should stop criticizing each and everything
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifikiri ni wewe
Mkuu inaonyesha una hasira sana ishakutokea Mara ngapi kupotezewa?!Sababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.
Ni kama vile wanawatega watu, na ndio maana kuna mmoja hapa ametoa angalizo kuwa vijana wawe makini, kwa sababu hiyo ni ID mpya.
Mimi ombi langu ni kwamba, wadada muwe serious na wala tusitegane, sio poa.
Kama kweli upo serious, onyesha u serious!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ID mpya
Ingekuwa sio umri ningejua ni mkongwe wewe na id yako mpya.
Ndio maana nimekuuliza kilichofanya ufikirie ni Mimi ni kitu gani? Au umesikia mimi ndio mtaalamu wa kufungua I'd mpya?ID mpya