Nahitaji mpenzi na msaidizi

Nahitaji mpenzi na msaidizi

Kuhusu hilo sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.

Ni kama vile wanawatega watu, na ndio maana kuna mmoja hapa ametoa angalizo kuwa vijana wawe makini, kwa sababu hiyo ni ID mpya.

Mimi ombi langu ni kwamba, wadada muwe serious na wala tusitegane, sio poa.

Kama kweli upo serious, onyesha u serious!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.

Ni kama vile wanawatega watu, na ndio maana kuna mmoja hapa ametoa angalizo kuwa vijana wawe makini, kwa sababu hiyo ni ID mpya.

Mimi ombi langu ni kwamba, wadada muwe serious na wala tusitegane, sio poa.

Kama kweli upo serious, onyesha u serious!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekusikia nadhani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mtu Kua mgeni na new ID nikosa?? Mi nawashanga vijana wa jf. Utathani hiki ni kikoba kwamba wageni hawawezi ku comment sijui.
That's being selfish.

Alafu wengine wanaume wanasema kwamba niwachache mbona nanyie mnatafta humu wanawake. Does it mean wanawake ni wachache.

My take some of you guys should stop criticizing each and everything

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitafuta mchumba udondoshe tangazo kwenye wall yangu.
 
Sababu kubwa ndio hiyo ninayo kwambia, kwamba hawako serious na wanachokisema.

Ni kama vile wanawatega watu, na ndio maana kuna mmoja hapa ametoa angalizo kuwa vijana wawe makini, kwa sababu hiyo ni ID mpya.

Mimi ombi langu ni kwamba, wadada muwe serious na wala tusitegane, sio poa.

Kama kweli upo serious, onyesha u serious!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonyesha una hasira sana ishakutokea Mara ngapi kupotezewa?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom