Nahitaji mpenz

Nothing4good

Senior Member
Feb 19, 2011
180
55
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
 
ur welcome unamtaka wa age ipi?maana watu tuna 45 na vitambi juu
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
 
Kila la kheri bibie na mpango wako huo,sie wengine tuko mbali,ila hujatuambia unakaa mkoa gani inawezekana niko karibu nawe nikaja kukulaki
 
Kila la kheri bibie na mpango wako huo,sie wengine tuko mbali,ila hujatuambia unakaa mkoa gani inawezekana niko karibu nawe nikaja kukulaki

kama unahitaji mpenz kweli sizani kama utaona huo umbali acha masihara unataka kuchakachua
 
Siwezi kuaninika picha yangu hapa. Watakuja wengi sana mpaka wasokua na nia. miaka 43 ni mwisho zaidi ya hapo mutanisamehe
 
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!

mi nina vigezo vyote. miaka more than 30 under 35. i'm single too.
 
Mbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs! naamini hata aliyekuumiza alikuwa hajui anafanya nini, nakushauri usiingie haya mambo ya mkataba labda useme unahitaji mpenzi ambae makemistry yakikubali muendelee next level yaani uchumba. kwa mimi nakuona bado una muda mwingi wa kupata perfect match
 
Mie ni mfupi ila vigezo vingine ninavyo, nina urefu wa 120 vipi application nitakubaliwa?Kipato je? Kama mabinti unawahitaji pia maana sina kazi by the way, ila kupenda najua and I mean it...kabila ni Msukuma kama CV unataka na experience nitakutumia...
 
168 Cm Tall halafu uzito ni 72 Kg ????

Aisee wewe kibonge dizaini...

Naweza kukadiria uko kama huyu?

African American Girl.jpg



Good luck......
 
Mbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs! naamini hata aliyekuumiza alikuwa hajui anafanya nini, nakushauri usiingie haya mambo ya mkataba labda useme unahitaji mpenzi ambae makemistry yakikubali muendelee next level yaani uchumba. kwa mimi nakuona bado una muda mwingi wa kupata perfect match

thanx mpenz nitaangalia uwezekano huo ila alijua kabisa alichofanya koz kasema mamake kamchagulia mke so akaniambia soma mtoto! Unachopaswa sasa hiv nikusoma2 mambo mengine achana nayo.yeye alikua chuo ni mtoto huyo?nataman kummeza!!m2
 
Unasema ulikuwa single kwa miaka 7..

Ina maana 23 - 7= 16.

Kwa hiyo ulianza mambo ya mapenzi ukiwa na miaka 14 au 15.

Any way, miaka 23 bado una uwezo wa kumpata mtu wa ukweli, huna haja hata ya kuwa na mkataba. Usiwe mwoga..
Mabasi kila siku yanaua watu. Lakini sijawahi kusikia watu wameacha kupanda mabasi.

all the best
 
Mbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs! naamini hata aliyekuumiza alikuwa hajui anafanya nini, nakushauri usiingie haya mambo ya mkataba labda useme unahitaji mpenzi ambae makemistry yakikubali muendelee next level yaani uchumba. kwa mimi nakuona bado una muda mwingi wa kupata perfect match

asante mpenzi.

mi niliposoma tu, niligundua huyu bado ni mdogo sana. mi nina miaka 26 na sijaguswa na mwanume. yeye ana 23 na kishaumizwa zaidi miaka 7 iliyopita na sasa ameandaa kamkataba akidhani ni muarobaini wa kuumizwa! kweli shetani anawatesa watu! kwa kweli niliposoma niliona nisijihangaishe kujibu kitu, ila nilipoona jibu lako nikaona nikuunge mkono.

mdogo wangu umri wako ni mdogo sana. sijui umefika kiwango gani cha elimu na maisha kwa ujumla, lakini kwa umri wako na mipango uliyonayo, ni mapema sana. zingatia alichoshauri dada yetu Gaga na wengine. asante.

nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.

praise the Lord
 
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!




mhhh
mimi nipo tayari je tutaonana lini na wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom