Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Alifanya vizuri kukwambia usome cause kweli ulikuwa mtoto na sasa ni wakati wako wa kushine wala usinung'unike ni sahihi kabisathanx mpenz nitaangalia uwezekano huo ila alijua kabisa alichofanya koz kasema mamake kamchagulia mke so akaniambia soma mtoto! Unachopaswa sasa hiv nikusoma2 mambo mengine achana nayo.yeye alikua chuo ni mtoto huyo?nataman kummeza!!m2