Straight corner
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 385
- 132
Wanabodi habari!
Nimelima shamba la vitunguu yapata ukubwa wa ekari 1 na sasa vimefikia hatua ya kuweza kuvunwa. Kwa makadirio natarajia kuvuna kama gunia 70. Kwangu naona si haba na nimeamini shamba halimtupi mkulima.
Wakuu naombeni mnisaidie kupata soko kwa zao hili, shamba langu liko Simanjiro jirani kabisa na geti la TPC (darajani), wenyeji wa Moshi wanaweza kufahamu eneo hili.
Naomba yeyote mwenye nia ya kununua, kutoa maoni au ushauri atumie namba hii 0782336657 ili na mimi nifaidi haya matunda ya kilimo.
Hizi ni baadhi tu ya picha halisi ya zao hili katika shamba langu.
Nimelima shamba la vitunguu yapata ukubwa wa ekari 1 na sasa vimefikia hatua ya kuweza kuvunwa. Kwa makadirio natarajia kuvuna kama gunia 70. Kwangu naona si haba na nimeamini shamba halimtupi mkulima.
Wakuu naombeni mnisaidie kupata soko kwa zao hili, shamba langu liko Simanjiro jirani kabisa na geti la TPC (darajani), wenyeji wa Moshi wanaweza kufahamu eneo hili.
Naomba yeyote mwenye nia ya kununua, kutoa maoni au ushauri atumie namba hii 0782336657 ili na mimi nifaidi haya matunda ya kilimo.
Hizi ni baadhi tu ya picha halisi ya zao hili katika shamba langu.