DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,328
Ndio shida ya waAfrika kama ww. Eti inawezekana hata mimi nimemzidi hela. Principle number 1 ya mafanikio ni "NEVER COMPARE YOURSELF TO OTHERS." MANAKE "HATA SIKU MOJA USIJILINGANISHE NA WENGINE." UTAKUTA MTU MWINGINE HELA NI YA WIZI. YA UFISADI, YA KUUZA MADAWA YA KULEVYA ETC. Wakati mtu ww unapambana Kihalali. Mimi siko hapa duniani kushindana na ww. Nashindana na Jana yangu, kuhakikisha kesho niko JUU ZAIDI YA JANA. Maneno kama hayo yanaonyesha ulivyo na upeo mdogo wa fikra. BADILIKA! Hata kama una mafanikio, fikra zako zinaku-limit na mafanikio yangekuwa makubwa zaidi kama fikra zingekuwa kubwa.Mleta mada stratutory interest rate ni 3.5% kwa mwezi reducing balance, kwa mwaka ni 42% kwa miaka mitatu 126% kwa sababu ni reducing inaweza fika 100%.
Ukikopa million kumi kwa miaka 3 tegemea kulipa million 20.
Kwenye microfinance zote utaratibu ni huo, labda uende banks na bank huna kigezo biashara hauna.
Kukopa microfinance au kwa individual lenders ni nzuri kwa mikopo ya muda mifupi isiyozidi mwaka ila zaidi ya mwaka ni maumivu tu.
Halafu achana na DocJayGroup ana maneno tu kama Haji Manara ila hela hana hela kabisa yaani apeche alolo inawezekana hata mie nimemzidi hela.
Ushauri wangu anza na kidogo ulichonacho kufufua biashara kwa hela za mkopo ni majanga tu.
Achana na habari za kukopa.