Nahitaji mkopo wa haraka, msaada.

GreenCity

JF-Expert Member
May 28, 2012
5,620
4,265
Habari wana JF.
Mimi ni kijana ninayeanza ujasiliamali, na hivi karibuni nimeanzisha biashara ya M-pesa na nafaka hapa Iringa. Napata wateja wengi sana kuliko uwezo wa mtaji wangu, nahitaji kujitanua zaidi. Hivyo naomba ushauri wa jinsi ya kupata Mkopo (toka kwa mtu binafsi au taasisi) wa haraka kuanzia laki mbili (200,000) kwa riba isiyozidi 15% kwa mwezi. Nina dhamana inayohamishika kama friji, computer, radio (disc changer), TV, n.K (kwa Iringa)
pia nina eneo/nyumba (Mbeya).
 
Back
Top Bottom