chardonnay
Member
- Aug 13, 2018
- 34
- 2
Wakuu nina shida ya haraka ni muhimu zaidi 1,000,000 nina dhamana za vitu vya ndani vyenye thamani zaidi malipo ni baada ya mwezi atachagua mwenyewe nirejeshe kiasi gani
naishi kimara stopoverMbona hujasema mahali ulipo mkuu
naishi kimara stopoverMbona hujasema mahali ulipo mkuu
tatzo kwamba mi si mtumishi wa serikali ni mjasiliamali
asante mkuu tatzo ni kwanza mi si mwajiriwa hapo siwez kupata mkopo
ni furniture mkuu sofa, kabati,tv flat inch 32,frij,kitanda n.kHivyo vitu vya ndani unavyotaka kuweka dhamana mbona hujavitaja au ni boksa,singlet na soksi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu tatzo ni kwamba nina shida ya dharura sio mikopo mingine inaprocess utaambiwa hivi mara vile sasa vitu vingne sina raba leseni ya biashara, bank statement sijui nini yaani kwangu vinakuwa vigumu wengine magar pikipiki bajaj sasa hvyo mi sinaKupitia mikopo ya wajasiriamali kweny senta zao je ulishawahi kujaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu,
Isije kuwa unataka kuviuza kijanja. Value ya vifaa vya nyumbani huwa haipandi zaidi ya kushukani furniture mkuu sofa, kabati,tv flat inch 32,frij,kitanda n.k
sitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukuaIsije kuwa unataka kuviuza kijanja. Value ya vifaa vya nyumbani huwa haipandi zaidi ya kushuka
Sent using Jamii Forums mobile app
tatzi ndo lipo hapo mkuu sina gariKuna jamaa anakupa mkopo chap kigezo chake kadi ya gari kama unalo ,utachukua mkopo kulingana na thamani ya gari
Sasa huyu atakayekupa huo mkopo ina maana dhamana unabaki nayo wewe au inakuwaje? Hebu funguka ili kusiwe na maswali mengisitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukua
Taja hivyo vitu vyako ndani unavyoweka bonditatzi ndo lipo hapo mkuu sina gari