mchungupwani
Member
- Jun 2, 2015
- 13
- 2
Kutokana na kuwa wanawake ni wengi mno kuliko wanaume na wanawake wengi hawajabahatika kuolewa japo hata mara moja tangu wazaliwe na wanahitaji kuolewa ila wakuwaoa hakuna na huenda wakaondoka katika dunia hii hawajawahi kuolewa natangaza rasmi nina nafasi moja ya kukamilisha wa nne alie tayari na mkaribisha alete cv zake hapa.