Mimi kijana Umri 38, elimu kidato cha nne, rangi maji ya kunde, mwembamba, Kaz mjasiriamali.
Nahitaji mwanamke wa kuoa umri 27-30, asiwe na mtoto, elimu awe kidato cha nne na kuendelea, dini awe mkristo, kabila yoyote, akiwa na hofu ya Mungu itapendeza.
Kwa yoyote aliye serious aje pm tuyajenge.
Nahitaji mwanamke wa kuoa umri 27-30, asiwe na mtoto, elimu awe kidato cha nne na kuendelea, dini awe mkristo, kabila yoyote, akiwa na hofu ya Mungu itapendeza.
Kwa yoyote aliye serious aje pm tuyajenge.