Lakikunene
Senior Member
- Jul 18, 2017
- 129
- 145
Habarini wakuu na wataalamu mliopo humu...,nahitaji miwani ya macho na kusomea maana yananisumbua mno .,hivyo ni wap nitapata miwani na yenye frame nzuri pia
Nipo Arusha
Nipo Arusha