mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 902
Hii inshu Kuna ndugu yangu aliingia baada ya KUGUNDUA kuwa na yeye yupo huko nikaaza kumpa elim had akanielewa KWA shingo upande,Ila yote ya yote nilimsaidia kuwa ni utapeli.ingawa huwa wakishaingia wanakuwa Kama machichi huwa hawaelewi ni wagumu kuelewa hata ukiwaambia wanatepeliwa.