Nahitaji mercury nyekundu

Nahitaji mercury nyekundu

Basso seleman

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
432
Reaction score
119
Habar za jion wadau wa jukwaa
Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika
Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo tuzungumze

siku njema
 
Nina ndg yangu anaweza kupata. Nipeni utaratibu kinachotakuwa kulinda ubora wake
 
Anahamu ya kutapeliwa hela zake zinamuasha ngoja watu wazipigwe akalilie kwenye tundu la choo.
 
Kunamtu anatafutwa tu kupigwa ela.
Jitahidini tu na tamaa zenu.


Kuna visa vingi vya upigwaji wa bidhaa hii na kubaki macho kodo.

Mmoja ninae mfahamu alipigwa huku anajiona mpaka leo anasema ni jini lilimpiga tukio maana yeye yuko fiti.
Mwingine alikua anadaiwa sadaka mpaka akaacha kuitafuta.
Mwingine mpaka leo ni punguwani.
Mi sijui yangu ilipoteaje japo cio nyekundu.
 
Habar za jion wadau wa jukwaa
Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika
Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo tuzungumze

siku njema
Ulishapata
 
Habar za jion wadau wa jukwaa
Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika
Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo tuzungumze

siku njema
Kama bado unahitaji huu mzigo upo naomba unitafute
 
Mercury nyekundu? Binafsi siamini kama ipo, hii biashara nikama unavyosikia Lupia, Simbambili na shilingi ya mwaka 73, au vitu vya namna hiyo.

Mara nyingi kwenye hii biashara anaye kwambia anahitaji ndiye anaemjua mnunuzi. Ukiwauliza watu 200 wa umri wa miaka 18-35 nina hakika huenda usimpate hata mmoja anaejua.

Muhitaji atwambie inauzwa wapi au nchi gani ambako ameshindwa kuinunua mpaka anaitaka hapa?

Mleta mada nakupa ushauri wa bure, ikiwa hujawahi kufanya hiyo biashara...amini walio kuletea hiyo issue wamejipanga kukupiga. Kachupa ka 30gm watakwambia thamani yake ni zaidi ya 100ml....na waliokuapa deal wanakutengenezea mazingira ya kuipata, na ukiipata watakwambia wakupeleke kwa muhitaji...hapo sasaaaa....
 
Hakuna kitu kinachokosekana dunian mkuu ila utapeli n mkubwa kushinda action,ila nnachoamini ipo,japo kinachonitatiza matumizi yake,huenda hi kitu kinaeza tengeneza kitu kolichokuwa na madhara,kila nkijaribu kuichunguza naona mambo yasio sahihi so nataka nijue je niyakweli au la,ila kusema ukweli upo kabisa,upo
 
Mercury nyekundu? Binafsi siamini kama ipo, hii biashara nikama unavyosikia Lupia, Simbambili na shilingi ya mwaka 73, au vitu vya namna hiyo.

Mara nyingi kwenye hii biashara anaye kwambia anahitaji ndiye anaemjua mnunuzi. Ukiwauliza watu 200 wa umri wa miaka 18-35 nina hakika huenda usimpate hata mmoja anaejua.

Muhitaji atwambie inauzwa wapi au nchi gani ambako ameshindwa kuinunua mpaka anaitaka hapa?

Mleta mada nakupa ushauri wa bure, ikiwa hujawahi kufanya hiyo biashara...amini walio kuletea hiyo issue wamejipanga kukupiga. Kachupa ka 30gm watakwambia thamani yake ni zaidi ya 100ml....na waliokuapa deal wanakutengenezea mazingira ya kuipata, na ukiipata watakwambia wakupeleke kwa muhitaji...hapo sasaaaa....
Yeah ni kweli hii biashara ni ya utapeli tu
Kinachofanyika yule mwenye mzigo anajua issue yote na huyo mtu wa kati na mnunuzi
Sasa we mtoaji hela mtu wa kati na mwenye mzigo wanakuaminisha kuwa ukichkua hiyo
Unaweza nenda uza kama bln 10 hivi ila we toa tu kwanza mln 40 au hela yyte wakatayo kuambia ikatayobaki ukishauza utawapelekea

Swali la kujiuliza kwann mwenye mzigo asiende kuuza yee!hapo ukiwabana wanakwambia oh masharti ya jini sijui

Wazee wengi wastaafu au wale waliyochkua kiunua mgongo wameumizwa sana na wapo wengine wasomi tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom