Mmmh kwanini umeamua kumwaga mboga hadharani? Na muhusika amesema kama unaona unakidhi vigezo uende PM mpaka hapo huna vigezo maana mcha mungu haweki siri zake hadharaniNpo mie we sema tu.Jina langu naitwa joseph mbaga.Nina elimu ya chuo mwaka wa tatu sasa hv.Nasomea tax ktk chuo cha usimamiz wa fedha(IFM).Na naishi dar-es-salaam ila nimepanga.Na kwa umri wangu nina miaka 26.Na kwa mawasiliano zaid namba zangu za cm hz 0689 049244 au 0654 115326
...hii mitandao jamani!! Utatoaje contacts zako kwenye public hivi dogo??? Hebu nenda private mkaongee huko!!
Amesema Uende PM mbona hamfuati instruction jaman?
Watu wengine wanafeli hata kabla ya mtihani,kwa bhati mbaya hiyo namba hajaiona maana concentration iko PMkeshakosa mchumba teyari,fwata maagizo,vigezo na masharti kuzingatiwa
Mtawasiliana na majini bure kwa kutoa namba zenu ovyo ovyoWe nitafte kwa namba 0683624561
wnaume mpo wapi? au meshaenda
Watu wamekimbia kupeleka CV PM
Nimebaki na wewe tu hapa
bora tubaki wote nilijua mmekimbilia wote kule PM
mi naitwa asha naishi boko magengeni dar elimu yangu ni form iv natafuta mume wa kunioa ninamiaka 30 kazi yangu ni muuguzi nina mtoto mmoja sina mashariti yoyote anakaribishwa weka namba zako mi nitakupigia mwenyewe sifahamu mambo ya pm
asante jerrymsigwa