Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Wadau,
Nahitaji mbolea ya kuku, preferably ile ambayo imeoza (imekaa muda mrefu baada ya banda kusafishwa).
Nipo Dar.
Kama mbolea ipo maeneo ya kama unatoka nje ya Dar kama vile Mbagala, Kongowe, Vikindu, etc itakuwa vyema zaidi maana shamba langu lipo huko.
Kama unayo tafadhani ni PM.
Nahitaji mbolea ya kuku, preferably ile ambayo imeoza (imekaa muda mrefu baada ya banda kusafishwa).
Nipo Dar.
Kama mbolea ipo maeneo ya kama unatoka nje ya Dar kama vile Mbagala, Kongowe, Vikindu, etc itakuwa vyema zaidi maana shamba langu lipo huko.
Kama unayo tafadhani ni PM.