exaud morrey
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,024
- 979
Wana jukwaa asalam alleykum Mimi nipo Dodoma nahitaji mbegu bora ya korosho msaada wenu wadau
Kiasi gani?
hela ya mfuko wa korosho ndio hivyo imepokwa, bodi ya korosho mpaka mwaka jana ilikuwa na project nzuri sana ya kukuza kilimo cha korosho ambapo walikuwa wakitoa bure miche ya kisasa ya korosho inayoanza kuvunwa baada ya miaka 2 kwa mkoa wa dodoma
Walifanya utafiti na kugundua wilaya ya kongwa zao hili linakubali vizuri sana, kwa bahati mbaya nimepoteza namba za waliokuwa wakiotesha hii Miche.... Jaribu kuuliza pakupata Miche/mbegu ofisi za kilimo kongwa au kijiji cha chamkoroma walipokuwa wakiotesha miche
Wana jukwaa asalam alleykum Mimi nipo Dodoma nahitaji mbegu bora ya korosho msaada wenu wadau
Mkuu Korosho zitarudi baada ya jiwe kuanguka!hela ya mfuko wa korosho ndio hivyo imepokwa, bodi ya korosho mpaka mwaka jana ilikuwa na project nzuri sana ya kukuza kilimo cha korosho ambapo walikuwa wakitoa bure miche ya kisasa ya korosho inayoanza kuvunwa baada ya miaka 2 kwa mkoa wa dodoma
Walifanya utafiti na kugundua wilaya ya kongwa zao hili linakubali vizuri sana, kwa bahati mbaya nimepoteza namba za waliokuwa wakiotesha hii Miche.... Jaribu kuuliza pakupata Miche/mbegu ofisi za kilimo kongwa au kijiji cha chamkoroma walipokuwa wakiotesha miche
Karibu tulime huku Mkoka wilaya ya kongwa Korosho zinakubali sana na mashamba bei chee. Miche inapatikana hapa magereza.
Ukiangalia hii miche nilipanda mwez wa 2 mwaka huu. hakika hii mbegu ni bora sana na inakubali sana kanda ya kati.
Karibuni sana wadau
Mkuu upo Dodoma ipi naku PM mKUU TUONGEEKaribu tulime huku Mkoka wilaya ya kongwa Korosho zinakubali sana na mashamba bei chee. Miche inapatikana hapa magereza.
Ukiangalia hii miche nilipanda mwez wa 2 mwaka huu. hakika hii mbegu ni bora sana na inakubali sana kanda ya kati.
Karibuni sana wadau