,Mkuu Aidia yako ni nzuri sana, il mimi nitakupa adivice kidogo,
Mkuu sekta ya utalii ni kweli unavyo sema imevamiwa sana utakuta kampuni in tour guide mzungu, hapa ndo ninapo choka mkuu, ni kama uemde kufanya kazi za kutembeza watalii china, wakati wewe ni mzaliwa na umekulia bongo,
- KUHUSU WAZO LAKO
1- Mkuu wageni wengi hasa watalii wanapenda kuona kitu in reality mkuu, mfano picha ya mlima kilimanjaro waisha iona huko kwao na kwenye mitandao but wao hutaka kuona mlima live kwa macho yao,
- Na hata watalii wengi wano kuja huku unakuta simba wameisha muona kwenye zoo but wao wanahitaji kumuona katika maizingira yake ya asili na si kwenye zoo.
WANAPENDA SANA VITU LIVE KATIKA UHALISIA WAO, KWA SABABU PICHA ZA MIT, WANYAMA WOTE WA TANZANI ZIKO HUKO KWAO ZINAUZWA NA KWENYE MITANDAO ZIPI SANA BUT WAO WANATAKA KUONA UHALISIA WA JAMBO LENYEWE TENA KWA MACHO,
NA NDO MAANA WANAVYO PANGA KUJA KUTEMBELEA TANZANIA WANAKUWA NA LATIBA YA SEHEMU WATAKAZO ENDA,
Swala la maduka ya Vinyago, huwa kwanza halipo kwenye latiba zao na pale huenda kufanya GIFT SHOPING ZA KUWAPELEKEA WALIO WAACHA HUKO KWAO
Ila mkuu unaweza try tu si vibaya kwa sababu hata mfumbuzi wa balbu alijaribu mara 10,000 kwa nini sisi tusijaribu