Nahitaji mashine ya kuoshea magari

Nahitaji mashine ya kuoshea magari

UKAWAA

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
216
Reaction score
85
Habari wadau,niko mbioni kufungua car wash yenye kuhudumia magari madogo na pikipiki,nahitaji msaada wenu nitapata wapi mashine nzuri za kuoshea(pressure machine)hatakama used bei zake zikoje na ukubwa upi utanifaa kwa kazi hiyo.wenyeuelewa nisaidieni na hata kama kuna changamoto na mengineyo ya hii biashara nifungueni macho
 
Unahitaji ya umeme au ya mafuta? Kwa bei zipo za kichina laki nne had tisa za mafuta na zipo nashine bora sana za umeme kutoka singapore zinaanzia 1400000 na kuendelea inategemea ukubwa wa mashine unayohitaji
 
Sasa ukiangalia mahitaji niliyoainisha hapo ukubwa upi unaweza kunishauli
 
Hizo za Singapore ni mpya au used
 
J33 fafanua basi
Izo ni mpya na ni za umeme ipo ya 1400000 na ya 1600000. Ni nzur sana na imara sana .mwanzoni nlikuwa natumia ya mafuta ya kichina ikawa inasumbua nikanunua iyo ya umeme ya singapore ni nzur sanaaaaa haijawah kusumbua kabisaaaaa. Lakin pia ukitaka mashine idumu ni vizur ukawa na maji ya kutosha ili isifike wakat maji yakaisha mashine ikawa inavuta upepo ama uchafu.


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
mm nina eneo napangisha limeisha tengenezwa car wash nilikua nikitumia. pia maji yapo na winch ya kunyanyulia magari ipo hapo hapo, umeme upo. eneo lipo banana kwenye mkusanyiko wa watu. kuna baa za kuyosha wakija kunywa wanaosha hapo hapo
 
Unahitaji ya umeme au ya mafuta? Kwa bei zipo za kichina laki nne had tisa za mafuta na zipo nashine bora sana za umeme kutoka singapore zinaanzia 1400000 na kuendelea inategemea ukubwa wa mashine unayohitaji
Hizo za Singapore ni brand gani na zinapatikana wapi?
 
habari naombeni kuuliza nimemaliza certificate katika chuo kilicho sajiliwa na nacte kwa mda je naweza kuendelea na diploma kweny chuo kilicho sajiliwa kamili na nacte
 
habari naombeni kuuliza nimemaliza certificate katika chuo kilicho sajiliwa na nacte kwa mda je naweza kuendelea na diploma kweny chuo kilicho sajiliwa kamili na nacte
Minhaji, Karibu sana Jf.
Kwanza kabisa ukitaka kupost Ujumbe wowote zingatia Jukwaa husika, ukifungua Jf utakuta Majukwaa tofauti tofauti, mfano Siasa, Elimu, Kazi n.k
Tukirudi kwenye Mada Chuo kilicjopata Usajili wa muda kinatambulika hadi pale kitakapo futiwa usajili ikiwa hakijakidhi vigezo, hivyo kwa mustakabali huo Cheti chako ww kinatumbulika na NACTE na unaruhusiwa kujiunga na Chuo chochote kwa ngazi ya Diploma kama sifa stahiki unazo., ukisoma ujumbe huu hapo chini kuna Like, click hapo ili nione kama kweli umeelewa!!!
 
Habri wadau nashida kuja garama za kufungua car wash ..na INA kuwaje kwnye malipo ya wafnykazi au wanakuletea kipnde?
 
Back
Top Bottom