Nahitaji mashamba, Mlele Lindi

Nahitaji mashamba, Mlele Lindi

Mabala21

Senior Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
146
Reaction score
100
Wadau,

Naitaji mashamba ya kununua katavi wilaya ya mlele hasa, naombeni connections.

Pia naomba kujua upatikanaji wa mifugo huko na bei zake hasa ngombe, mbuzi na kuku wa kienyeji.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom