Nahitaji Masada

Chuo gani hicho wasichana n wachache hadi ukose wa Ku socialize nao???

Anyway Bado shida ni MINDSET yako badili mtazamo dhidi ya jinsia ya kike hao n mhimu sana katika afya yako ya AKILI

Okay hapo kwenye mindset nisaidie nawezaje change mindset?maana unaongea juu juu tu
 

Asante sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi
 
Mzee utakuwa unasumbuliwa na tatzo la u gay,jiangalie sana mzee baba,miaka 24 hiyo inatosha kabisa kumumenya mtoto wa kike vzuri.

Mwanaume ukiwa lijali haijalishi utakuwa na demu gani ila ikifika mzuka umepanda unaweza kula demu yeyote hata kesho yake ukijilaumu sio mbaya.sasa wewe unapendaje wanaume wenzio zaidi badala ya kupenda msichana


Mimi nilikuwa napenda wasichana zaidi tena wale walio nizidi kaumri kidogo nikiamini ni wasafi zaidi,niko form 2 demu wangu form 3 or 4,akinipa papuchi atasimulia magori
 
Hao hao wasichana

Then endelea tu mpaka utakapompata anayekuvutia. Acha kuangalia wengine wanafanya nini, peer pressure is a mudha. Cha msingi jaribu kuangalia qualities zinazokuvutia kwa washkaji zako wa kiume, halafu jihusishe na wanawake wenye nazo kama hizo au karibu ya.
 
Mkuu tafuta demu mkaliii halafu mtongoze nakusudia mkali sio maji yako. Utaona mabadiliko yanakuja usichukuwe hao wadada wenye sura kama bajaji. Hao huondoa mzuka


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Huyu sio kama ana ugay ana upweke wa kukosa mapenzi ya baba, ndio yamesababisha kujisikia kuwapenda rafiki wa kiume. Kwa nilivyo muelewa hawapendi kingono anapenda kuwa na ukaribu nao tu kama protector wake. Hizi hisia huwajia sana watu kama huyu walio lelewa na mama na bibi, kiufupi huyu anavutiwa na ule ushupavu wa kiume. Mtoa mada kama sipo sawa naomba unikosowe


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kwa hiyo alishazoea wanawake sana hadi kukosa mvuto nao??! Mmmh mbona wengine tumekulia kwa ma bibi zetu ila hali ni tofauti mkuu
 
Kwa hiyo alishazoea wanawake sana hadi kukosa mvuto nao??! Mmmh mbona wengine tumekulia kwa ma bibi zetu ila hali ni tofauti mkuu
Tumsubiri aje afunguke vizuri tuone undani halisi.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kwanza acha punyeto alafu akili yako itakuwa ipo free kuwaza mwanamke atayekuvutia
 
Mmmh kwa kweli mimi papuchi nilikuwa nazipenda sana hasa za wadada wasafi ,yani naweza nisinywe chai mm ila yeye anywe chai chapati kisha mimi navizia uji ,bording school hiyo

Ila siku akiniweka kati na mimi nasahau shida,kuna kimdada kimoja hivi kizuri kilinipa papuchi baadae kesho yake kakanipa mrejesho, kakisema "kwa kweli jana umenisugua sijawahi suguliwa hivyo,mmh"

Na kweli mm napaheshimu sana hapo kati,sa sijui mkuu anatatzo gani na sehemu hiyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…