Nahitaji makaa ya mawe

Nahitaji makaa ya mawe

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Wanajamvi naomba kwa yeyote anayejua wapi nitapata makaa ya mawe anisaidie kunielekeza. Nahitaji msaada wenu.
 
njoo
songea yapo

songea sehemu gani
yanakopatikana?litapwasi,peramiho,namatuhi,mpitimbi,madaba,mlilayoyo,hanga,ngadinda,mtyangimbole,shule
ya tanga,mletele?au
kunyumbani kwetu kwenyuko.!au bombambili,lizaboni,kule kwa mchaka(misufini),ruvuma.,na maeneo mengne hapo town?ngwinde je?
 
Nivea, Nipo dar, ila nahitaji kwenda kuyatumia tabora, hivyo itakuwa vema kama nitayapata karibu na eneo angalau mkoa unaopakana, mfano mbeya kama alivyosema mdau mmoja kuwa, pale kiwila mbeya nitayapata.
 
Kama uko serious wasiliana na wachimbaji. Haiwezekani ukayahitaji na usijue pa kupata.
 
Wanajamvi naomba kwa yeyote anayejua wapi nitapata makaa ya mawe anisaidie kunielekeza. Nahitaji msaada wenu.

Haujaweka mawasiliano yako Mkuu, unahitaji kiasi flani mara moja tu au una project endelevu, unahitaji supply ya kiasi gani kwa wiki? Tuwasiliane Mkuu.
 
Haujaweka mawasiliano yako Mkuu, unahitaji kiasi flani mara moja tu au una project endelevu, unahitaji supply ya kiasi gani kwa wiki? Tuwasiliane Mkuu.
Habari vipi nawezapata makaa ya mawe
 
Back
Top Bottom