Nahitaji mahindi Arusha

Nahitaji mahindi Arusha

YassirBoshe

Member
Joined
Jul 22, 2015
Posts
5
Reaction score
1
Hamjambo wadau,

Nahitaji kununua gunia 200 ya mahindi safi kwa bei safi kila baada ya siku 3. Bora zaidi ikiwa mahindi yako Arusha au karibu na Arusha. If you are able to cover my demand kindly.

Get in touch through +254722217521 or WhatsApp +254706294232.

Nanunua kwa bei ya ujumla.

Asante
 
Piga namba hii 0754369493 mwambie namba nimepewa na babuu. Ukimpata sema utakavyo.
 
Hamjambo wadau, nahitaji kununua gunia 200 ya mahindi safi kwa bei safi kila baada ya siku 3. Bora zaidi ikiwa mahindi yako Arusha au karibu na Arusha. If you are able to cover my demand kindly get in touch through +254722217521 or WhatsApp +254706294232. Nanunua kwa bei ya ujumla. Ahsante

Tsh. 720 per kg, Is it possible?
 
Watanzania kwa Kulalamika
Fursa hiyo watu wamelala tu,waambie ubishi wa Siasa ndio utawajua.Ingekuwa Siasa uzi ungejaa huu
We mtu badala ya kutoa bei yeye muuzaji eti unamuuliza mnunuajie,aisee hahaha ,kazi kweli.

Ni Bonge la deal kama mjanja akilifanikisha hili.

Safi sana Yassir kwa kutoa fursa mkuu.
 
Back
Top Bottom