Nahitaji mafuta ya mzeituni(olive oil)

Nahitaji mafuta ya mzeituni(olive oil)

tepetepe

New Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
3
Reaction score
3
Habari wadau.! Nimejaribu kupitia baadhi ya makala mbalimbali nimegundua faida nyingi sana za mafuta ya mzeituni. Mwenye kujua wapi yanapatikana anifahamishe wadau
 
Yapo mengi sana nenda super makert nunua yale yalioandika extra virgin nasikia ni mazuri zaidi
 
Huwa yanasaidia hadi kutibu magonjwa ya ngozi kama kovu la moto, mapele, kovu la ajali au huwa yanasaidia nini.
Tujuzane tafadhali wakuu maana ninakovu nilipata ajali nikubwa kidogo natamani kuliondoa au kulipunguza ila sijui ni dawa gani inaweza kunisaidia
 
Huwa yanasaidia hadi kutibu magonjwa ya ngozi kama kovu la moto, mapele, kovu la ajali au huwa yanasaidia nini.
Tujuzane tafadhali wakuu maana ninakovu nilipata ajali nikubwa kidogo natamani kuliondoa au kulipunguza ila sijui ni dawa gani inaweza kunisaidia
mkuu kayo ni mafuta kama mengine sema yametokea ukubalika sana na ni adimu ila wengine hutumia kupikia vyakula, japo wengi huamini ni mafuta yalio na viini lishe vingi na yanafaa kukaangia vyakula maana hayaleti free radicals kama mafuta ya mimea mingine, ni kama vile mafuta ya nazi yakubalikavyo kutokana na umahiri wake katika mapishi na shughuli nyingine lukuki
 
oooohh nashukuru sana nilihisi labda ni ya kupaka hv nashukuru sana mkuu
mkuu kayo ni mafuta kama mengine sema yametokea ukubalika sana na ni adimu ila wengine hutumia kupikia vyakula, japo wengi huamini ni mafuta yalio na viini lishe vingi na yanafaa kukaangia vyakula maana hayaleti free radicals kama mafuta ya mimea mingine, ni kama vile mafuta ya nazi yakubalikavyo kutokana na umahiri wake katika mapishi na shughuli nyingine lukuki
 
Huwa yanasaidia hadi kutibu magonjwa ya ngozi kama kovu la moto, mapele, kovu la ajali au huwa yanasaidia nini.
Tujuzane tafadhali wakuu maana ninakovu nilipata ajali nikubwa kidogo natamani kuliondoa au kulipunguza ila sijui ni dawa gani inaweza kunisaidia
Tafuta bio oil kwenye maduka makubwa ya dawa, fanya massage kila siku asubuhi na jioni.
 
Back
Top Bottom