judo ata wanawake wanacheza kirahici....njoo na panga lako kwenye michezo mingine uone kama hujaliacha na kukimbiaArusha unacheza judo yako weee!! Ila wahuni wanakulia timing, tuu...mara paaa sime/panga ya mguu.....unakitwa beto ya abdomen...kwisha habari yako na judo yako....
Dojo la wapi we mama isijekuwa la mambo yetu yale maana TA raha bhanaaa!!!Ungekuwa Tanga ningekuwa mwalimu wako
Ongea taratibu basi mkuuDojo la wapi we mama isijekuwa la mambo yetu yale maana TA raha bhanaaa!!!
Timing tuu....judo ata wanawake wanacheza kirahici....njoo na panga lako kwenye michezo mingine uone kama hujaliacha na kukimbia
UNGEKUA MCHEZAJI WA michezo iyo ata ucingeongea ivo...especially hujui ata kutumia pangaTiming tuu....
We ruka makareti yako yako kindezi ukutane na panga......Ni kurengetwa tuuu
HahahahahPumzika tu jombaa, utakimbizwa MOI bureee
Hayo ni mafunzo ya kijasusiwakuu kwa mbeya wapi naweza pata mafunzo rasmi ya vtu kma hvyo happo juu
kwan upo wapi mkuu?kwanMi nilifundishwa krav maga na dingi yangu mdg...alijifunza ulaya huko ila ni hatari sana siwezi mfundisha mtu asiye na displine wala simjui
mkuu upo wapi?Mi nilifundishwa krav maga na dingi yangu mdg...alijifunza ulaya huko ila ni hatari sana siwezi mfundisha mtu asiye na displine wala simjui
Mbeyakwan upo wapi mkuu?kwan
mkuu upo wapi?
Mbeya
Mimi nilifundishwa na ba mdg..me nipo uyole hapa mkuu unaweza ukanielekeza wanapotoa haya mafunzo?