wakuu kwa mbeya wapi naweza pata mafunzo rasmi ya vtu kma hvyo happo juu
Kwa Dar sehemu gani kuna dojo la kueleweka?Ungekua Dar ningekufundisha, lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.

Kwa umri wa miaka 40 naweza jifunza hiyo kitu au mifupa imeshakaza??Karibu kwenye mafunzo lakini dojo lipo dar ubungo
Pumzika tu jombaa, utakimbizwa MOI bureeeKwa umri wa miaka 40 naweza jifunza hiyo kitu au mifupa imeshakaza??
Lina kiingilio au bure Maana sio unipigishe misamba alafu Nikulipe kama Kukulipa Tunaanza kistaa mdogo mdogoKaribu kwenye mafunzo lakini dojo lipo dar ubungo
I hope utamfundisha na mambo mengine pendwaUngekuwa Tanga ningekuwa mwalimu wako


Unaweza kujifunzaKwa umri wa miaka 40 naweza jifunza hiyo kitu au mifupa imeshakaza??
Aisee! Bahati mbaya nimeshaondoka huko niko huku kwa akina ngosha ningekufundisha mkuu.wakuu kwa mbeya wapi naweza pata mafunzo rasmi ya vtu kma hvyo happo juu
Kwa Martial art hakuna kuchelewa isipokuwa kwa 40 jikite kwa zilet stule ambazo hazina quick movement ya miguu au high kick kama vile Judo Aikido Shoto ryu,gojuryu,Winchun ,TaichKwa umri wa miaka 40 naweza jifunza hiyo kitu au mifupa imeshakaza??
Nenda mbalizi mitaa ya zzk ulizia mtu mmoja anaitwa 05 (zero five) anapatikana karibu na kwa mzee mahenge.km hujaelewa uliza hapa ucje pm pamejaa![]()
![]()