Nahitaji laptop wakuu

Nahitaji laptop wakuu

Waswahili bwana..! mtu katoa mahitaji yake juu aina ya laptop anayo ihitaji, sasa haya ya mimi ninayo hii au ile ya nini wakati haiendani na dhumuni la muhitaji.?! kama huna anayo ihitaji si bora kukaa kimya.
Hapana,kuna wengine wanaouhitaji hivyo hapa huwa zinapigwa two in one, tulia kuongozi black market inapofanyika huwa haiangalii hiyo kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom