Viettel ni mtandao gan huu🤔kwan wenye kutumia huu mtandao wenyew wanasemajeKwema wakuu nitapataje laini ya viettel? Au kama mtu anauza nicheki whatsapp namba +255750323415
nipo Kilimanjaro.
Viettel tanzania wana trade kama halotel so simply ni atafute line ya halotel .Viettel ni mtandao gan huukwan wenye kutumia huu mtandao wenyew wanasemaje
Sasa Bongoland imekuja kufanya nini uku😆laini ya Burundi mkuu.
Waambie unafanya nao miamala wakusajilie na wakutumie line.Lengo langu ni kufanya miamala na watu wa Burundi.
waambie wakutumie kupitia mitandao ya sim kama vodacom na inafanya kazi mimi napokelea kwenye simLengo langu ni kufanya miamala na watu wa Burundi.
Hpn sio wakala mkuuMbona kwa hizi line za bongo unafanya miamala nchi yoyote ikiwepo Burundi, tatizo liko wapi?
mkuu nahisi hujanielewa.Kama upo kilimanjaro ni kwamba upo Tanzania, sehemu za kusajili laini zipo kibao tu kwenye vibanda vya huduma za kutoa pesa.
Jisajili kwa kitambulisho chochote hata kama ni passport.
Kila mtu anajisajilia laini yake kwa sababu za kiusalama.
wapi wanasajili laini za viettel hapa Tanzania?Kama upo kilimanjaro ni kwamba upo Tanzania, sehemu za kusajili laini zipo kibao tu kwenye vibanda vya huduma za kutoa pesa.
Jisajili kwa kitambulisho chochote hata kama ni passport.
Kila mtu anajisajilia laini yake kwa sababu za kiusalama.