cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Naombeni mnieleweshe mliowahi kufika Pemba nahitaji kwenda huko kununua vifaa vya umeme used kama laptop na simu. Swali langu kwenu: Zile boti zilizo pale Posta ya Zamani zinazoenda Zanzibar kule zinaenda kushushia Zanzibar ipi?
Naomba nijue kama zinashushia Pemba au hapana, na kama siyo zinashushia wapi nanikifika hapo nitatumia usafiri gani nagharama kiasi gani kufika Pemba. Tusaidie ili tuchakalike pamoja.
Naomba nijue kama zinashushia Pemba au hapana, na kama siyo zinashushia wapi nanikifika hapo nitatumia usafiri gani nagharama kiasi gani kufika Pemba. Tusaidie ili tuchakalike pamoja.