Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,383
- 8,272
Itabidi nirudi wakati mwingine kufuatilia huu uzi......
Kwanini uwekezaji wa hisa unawafaa vijana wa bellow 30?Good
Ingawa kama una umri below 30 kawekeze kwenye hisa, growth ni kubwa zaidi.
Hii ikoje mkuuIweke m-wekeza kila mwezi utakua unaokota faida
Kwanini uwekezaji wa hisa unawafaa vijana wa bellow 30?
Hujataka hata kuuliza kwanini?nachukua hili.
Mwanga Bank wanakupa 80% ya Hela ya utt ?Kaiweke hiyo hela UTT mfuko wa Bond Fund...
Kisha Chukua Vipande Vyako vitumie kama Dhamana nenda kakope pesa MWANGA BANK wanakupa 80% ya hiyo 15m
Then huu mkopo unaopewa usipasuke kichwa Kama una biashara uza hata Vocha hela yako yote inarudi.
Faida ya VOCHA ambayo ni biashara ambayo haina hasara zaidi ya faida ndogo ndo yakufanya mtu kama wewe.
Tumia mkopo huo kufanya hyo biashara italipa rejesho na Hela ako UTT inaendelea kuzaaa.
Usi iweke Pesa UTT mfuko wa hela kwenda kukaaa... kaiweke BOND FUND
Then kakopee vipande hvyo ufanye yako...
Kama unaogopa mkopo means unaogopa biashara...
Nunua Hisa za NICOL au CRDB Kaa hapo tulia.
Ndo ipo vipi hiiNjoo uwekeze bima ya maisha utakuja kunishukuru
Inaonekana wewe ni mkurupukaji. Unachukua bila hata kuhoji?nachukua hili.
Any lead...Njoo uwekeze bima ya maisha utakuja kunishukuru