Nahitaji kutengeneza AI mfano wa CHATGPT

Nahitaji kutengeneza AI mfano wa CHATGPT

Kutengeneza mfumo kama chatgpt sidhani kama unaweza kumudu na sio KAZI ya mtu moja au wawili kuanzia maandalizi ya data mpaka training, DeepSeek ni model iliyosifiwa kutumia gharama ndogo mpaka kukamilika, gharama ikiyotumika ilitumika dola milioni 6, gtp-3 model jumla ya gharama ilienda dola mil 27

Unaweza kujifunza Kwa kuanzia na gpt-2 ambayo ni opensource
 
Kutengeneza mfumo kama chatgpt sidhani kama unaweza kumudu na sio KAZI ya mtu moja au wawili kuanzia maandalizi ya data mpaka training, DeepSeek ni model iliyosifiwa kutumia gharama ndogo mpaka kukamilika, gharama ikiyotumika ilitumika dola milioni 6, gtp-3 model jumla ya gharama ilienda dola mil 27

Unaweza kujifunza Kwa kuanzia na gpt-2 ambayo ni opensource
kwani mamba kasema pesa ni shida kwake?

Technophilic Pool , et burget yako ni limited?
 
Kutengeneza mfumo kama chatgpt sidhani kama unaweza kumudu na sio KAZI ya mtu moja au wawili kuanzia maandalizi ya data mpaka training, DeepSeek ni model iliyosifiwa kutumia gharama ndogo mpaka kukamilika, gharama ikiyotumika ilitumika dola milioni 6, gtp-3 model jumla ya gharama ilienda dola mil 27

Unaweza kujifunza Kwa kuanzia na gpt-2 ambayo ni opensource
Hivi bongo haiwezekan kufanya fund rising mpaka kufikia hapo ? Tukumbuke kuna vitu wazungu wametumia gharama huku unaweza kupata bure. Mfano lugha asili huku kwetu haziitaji pesa.
Hiitaji kukiweka kiswahili ktk AI kwa gharama kubwa kuliko wazungu ambao walilazimika ku ajiri watu. Kitu kingine hizo hizo AI zilizopo zinaweza kukupaa taarifa nyingi za kukusaidia kujenga AI yako. Ni sawa ja watunga vitabu, hutumia vitabu vya wenzao kutunga kitabu kipya.
 
Ongea na jamaa aliyekoment hivi
""Umelogwa""

Huyo jamaa ni IT sio IT wetu hawa hapana jamaa ni genius ana anajua na mpaka kasema hvo jua anaelewa how deep kuhusu hiko kitu mkuu
 
Hivi bongo haiwezekan kufanya fund rising mpaka kufikia hapo ? Tukumbuke kuna vitu wazungu wametumia gharama huku unaweza kupata bure. Mfano lugha asili huku kwetu haziitaji pesa.
Hiitaji kukiweka kiswahili ktk AI kwa gharama kubwa kuliko wazungu ambao walilazimika ku ajiri watu. Kitu kingine hizo hizo AI zilizopo zinaweza kukupaa taarifa nyingi za kukusaidia kujenga AI yako. Ni sawa ja watunga vitabu, hutumia vitabu vya wenzao kutunga kitabu kipya.
Upo sawa kabisa, mtindo ambao ume-sajesti mfano wa vitabu ndio DeepSeek waliutumia unaitwa distillation yaani unanyonya maarifa ya model nyingine(deepseek walinyonya ya openai) halafu ww unaiboresha zaidi

Changamoto ya Tanzania, kwanza serikali haiko committed kabisa, intaneti ni gharama kubwa sana hapa tanzania hivyo watu hawatumii kwa ukubwa ule, mitandao tunatumia ni ya watu wa nje bahati nzuri tuna JamiiForums nimewahi kuhesabu token za JF zinazidi bilioni moja, pia swala kubwa la miundombinu ya computation(gpu, umeme, memori), swala la kukusanya data nyingi za lugha za asili ni kiswahili unahitaji gpu za kutosha kwenye training
 
Back
Top Bottom