Nahitaji kupata walimu wawili, wawe na diploma au degree

Glas

JF-Expert Member
May 30, 2016
1,243
1,186
Habari zenu wadau!

Nahitaji kupata walimu wawili, wawe na diploma au degree kwa masomo ya science! Kuna center nishaifungua na mpaka sasa nina wanafunzi 17 wa madarasa tofauti tofauti.

Nahtaji wawe na ari ya kupiga kazi na wawe ni wakazi wa Morogoro Mjini! Aliye serious ani-PM.

NB: Wawe tayari kupiga kazi mpaka usiku by saa 2
 
Habari zenu wadau!

Nahitaji kupata walimu wawili, wawe na diploma au degree kwa masomo ya science! Kuna center nishaifungua na mpaka sasa nina wanafunzi 17 wa madarasa tofauti tofauti.

Nahtaji wawe na ari ya kupiga kazi na wawe ni wakazi wa Morogoro Mjini! Aliye serious ani-PM.

NB: Wawe tayari kupiga kazi mpaka usiku by saa 2
 
Habari zenu wadau!

Nahitaji kupata walimu wawili, wawe na diploma au degree kwa masomo ya science! Kuna center nishaifungua na mpaka sasa nina wanafunzi 17 wa madarasa tofauti tofauti.

Nahtaji wawe na ari ya kupiga kazi na wawe ni wakazi wa Morogoro Mjini! Aliye serious ani-PM.

NB: Wawe tayari kupiga kazi mpaka usiku by saa 2

ingependeza uweke namba ya simu yako, haya mambo ya ku PM huwa ni upotevu wa muda na kufanya watu waone hauko serious
 
Wanaohitajika ni walimu wa sayansi na ww kwa kuwa ni Linguistic ambayo ni science of language studies jiandae mkuu umepata kaz
Mkuu acha masighara ujue watu tumechakaa na msoto wa ajira so let us be serious
 
Back
Top Bottom