Duu! ushazaa nani atakuoa?!
wapi hyo Dada?
mim ni msichana am 20 in yrz,i hav one kid.nahitaj mwanaume umri 25-40 awe mume.4 anyone silias 0719881081 4 more info.
mim ni msichana am 20 in yrz,i hav one kid.nahitaj mwanaume umri 25-40 awe mume.4 anyone silias 0719881081 4 more info.
Aisee kweli hali ni mbaya kwel kwel
Duu! ushazaa nani atakuoa?!
hali mbaya kivipi?
una miaka 20, umeshazaa, na umeanza kuwashwa tena kutafuta wanaume wa mtandaoni maana hao wa mtaani umeshawamaliza?hahaha, nani apate shida ya baba wa mtoto wako kuwasiliana na wewe kuleta matumizi? kuna mtu huwa anamwacha baba wa mtoto wake kweli, mkikutana si lazima mtakumbushia. katafute kanisani sio hapa. kwa umri wako huo we ni kicheche, ungekuwa sio kicheche ilikuwa muda wako wa kujiimarisha kitabia na kusafisha jina ili uolewe kwa heshima, na umri huo kwa ndoa bado ni mdogo. au unategemea wazazi watakusaidia?mim ni msichana am 20 in yrz,i hav one kid.nahitaj mwanaume umri 25-40 awe mume.4 anyone silias 0719881081 4 more info.
Tatizo ni nini??umekata tamaa kiasi hicho mpaka kutafuta mume huku?watu wanaolewa na miaka 30s sembuse wewe!we tulia na muombe mungu akupe mume na kuzaa wala sio sababu ya kukosa mume mpenz,watu kibao wameolewa huku wakiwa wamezaa na mwanaume tofauti,JF hapa utapata STRESS tu wala sio mume ndugu yangu.
Tena kwa usalama zaidi usipende mahusiano ya kwenye mitandao binaadam sisi ni zaidi ya utujuavyo!hapa sisi tunajadili tu lakini tunaishi hukohuko mitaani!kwa hiyo mume atapatikana hukuhuko mtaani na sio JF
Suala la ndoa mpaka mkafikia kuoana ni ndefu sanaa sio rahisi likatokea hapa JF
Kwa iyo jamaa akija msalimia mtoto, unampelekea hotelini sio!wapo ambao watahitaj