Nahitaji kuolewa

Nahitaji kuolewa

Si imagine huyo mwanaume atakayekuja.. Maswali yake.. Kila Muda utanioa Lini ?.mbona wachelewa? .. Hivi ulisema Lini tunafunga Ndoa?..

Labda atakuja Mwanaume ambaye hataki background na kukusoma

Good lucky tho
Weka picha
 
Mkuu Econometrician hujanielewa!,maana yangu ni kwamba hapa tunajadili lakini hatujuani kwa sura wala tabia lakini ndiko kuna uchaguzi na maisha halisi,kwa haraka aliyonayo huyu unaweza hata kumlipia mahari kwa Mpesa au tigo pesa na akakubali bila hata kukufahamu kiundani,huyu mwanaume atkaye mpata hapa yeye ndio anataka awe mume moja kwa moja!ndio ndoa inapatikana hivyo kweli?

wanaume wa mtandao wanaishi mtaani ndio maana nikamwambia aanzie mtaani kabisa
 
Mtoto ana miaka mingapi? Baba wa mtoto yupo wapi? Nini chanzo cha kutengana nae? Elimu yako? Mtandao wa JF uliujulia wapi? Una jishughulisha na nini kwa sasa? Mbeya unakaa maeneo gani? Mbalizi,soko matola,mwanjelwa,mbozi,tunduma au tukuyu?
 
fanya kuni inbox nipo mbalizi huku mapelele
 
et wanasema asali tamu sana ila isiwe na watoto huwa sielewagi hili.
 
Tatizo ni nini??umekata tamaa kiasi hicho mpaka kutafuta mume huku?watu wanaolewa na miaka 30s sembuse wewe!we tulia na muombe mungu akupe mume na kuzaa wala sio sababu ya kukosa mume mpenz,watu kibao wameolewa huku wakiwa wamezaa na mwanaume tofauti,JF hapa utapata STRESS tu wala sio mume ndugu yangu.

Tena kwa usalama zaidi usipende mahusiano ya kwenye mitandao binaadam sisi ni zaidi ya utujuavyo!hapa sisi tunajadili tu lakini tunaishi hukohuko mitaani!kwa hiyo mume atapatikana hukuhuko mtaani na sio JF
Suala la ndoa mpaka mkafikia kuoana ni ndefu sanaa sio rahisi likatokea hapa JF

Sio kweli hata hapa jf kuna wanaume wazuri na wabaya.kwanza akimpata sio kutakuwa na kipindi cha mpito?akiridhika na tabia za mwanaume ndipo waoane.
 
20''''??! embu tulia wewe usije kuzaa watoto10 kila mtu na baba yake bure
 
Waambie Tayari Ushaniacha,ili Na Mwingine Ajitokeze Uishie Kumthaminisha Na Kumpiga Mizinga. Kichwa Kingine Hiki Mikakati Yako Hasi Kwangu Imefeli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom